Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipumba is right. Watanzania ni watu wa Amani.
Amani ya Tanzania kwa kiasi kikubwa imeletwa na waislam kwa kuvumilia na kutolalamikia hilo..
ufuatao katika Bunge:
"Fr. Peter Smith (1992) acknowledges that Muslims lag far behind in education. A similar observation is made by Professor Malekela (1993:26). Malekela (1983) found that 78.5 per cent of secondary students were Christian and only 18.6 per cent Muslim. Likewise the 1994 US Report on Human Rights in Tanzania acknowledges the significant disadvantages facing Muslims in education and employment. It also notes the existence of widespread Muslim resentment in the country. More importantly however, the Report says religious imbalances in Tanzania are a result of historical circumstances rather than deliberate discrimination (US Department of State, 1995). .
Mkuu kama ulivyosema hiyo ilikuwa ni zamani siku hizi, anafanya huyu bwana peke yake. Huo ni mkakati maalumu ulioratibiwa vizuri sana wala hakuna bahati mbaya. Na wahitimu wote inahakikishwa wanapata kazi serikalini. Fanya utafiti katika miaka mitano iliyopita utaona 90% ya graduates waislamu wa vyuo vikuu wamepata kazi serikalini. Wakikosa huko basi kuna mashirika yafuatayo yatawachukua. Huko sifa ya kwanza lazima uwe mwislamu
1. NSSF ya Ramadhan Dau
2. TANESCO ya Idrissa
3. TTCL ya yule kijana injia alikuwas acting CEO na sasa huyu Mzenji
Gongagonga na Zawadi, mnajua tofauti ya dini ya mtu na udini?
maelezo yenu ni sumu mbaya sana katika jamii yetu. huku mitaani wakristu na waislamu tunaishi vizuri sana sijui kwa nini mnaandika upupu usio na utafiti wowote ACHENI JAMANI, UDINI TANZANIA HII HAUPO!!!!!
Kanda2
Hiki ni kituko! Unaweza kuniambia umejuaje kwamba hao waliokuwa shortlisted ni wakristo? Au kwa kuwa hawaitwi akina Mohammed, Athuman, Khamis, Ahmed, Zainab, Aziza, etc?!! Kwanini usifikiri kuwa ni waislamu au wapagani wasioamini hizo dini mbili (ukristo na uislam)? Nina rafiki zangu wengi wenye majina ya "kizungu" (English names) na wenye majina ya kiarabu (Arabic names) ambao ni Atheists, kwa watu kama utakuwa hujawatendea haki kuwapandikizia dini wasizoamini kama ulivyofanya hapo juu! Nafikiri ni vema ukaomba radhi kwani naamini kwa 100% hauwajui hao watu na ulichofanya ni kinyume na misingi ya dini yoyote unayoamini wewe!
Bora umeyasema wewe, maana tungeyasema wengine wangesema unaona huyu mtu ni matatizo matupu. Na ndio maana huko nyuma niligusia suala la wanawake.du......noma lakini haya yapo pamoja na kwamba tunasema nchi haina udini wala ukabila......msisahau ukabila upo kwa kiasi kikubwa kuliko hata udini...............wachaga idara zote za fedha na mashirika nyeti wameshikilia na hagusi mtu hata kama una sifa.................data tunazo tukiamua tutazimwaga ili ijulikane....................
Muulize muanzishaji wa THREAD HII hilo swali.Gongagonga na Zawadi, mnajua tofauti ya dini ya mtu na udini?
maelezo yenu ni sumu mbaya sana katika jamii yetu. huku mitaani wakristu na waislamu tunaishi vizuri sana sijui kwa nini mnaandika upupu usio na utafiti wowote ACHENI JAMANI, UDINI TANZANIA HII HAUPO!!!!!
Huyu JK ni kuhakikisha hapiti mwakani! Kwanza huko Ikulu naona ame-overstay! Wakristo tukimwongezea JK miaka mingine mitano tumeliwa, huyu ni Rais wa waislamu pekee, ndio maana ameyaweka mambo ya kiislamu kwenye Ilani ya Uchaguzi, 2005, ameruhusu mijadala ya Kadhi na OIC bungeni na hatimaye kuamua kuunda Mahakama za Kadhi! Mpaka hapo hamjashtuka tunapelekwa wapi? Oh, wake up pls!
Unataka data.Angalia tovuti ya bodi ya mikomo.cheki list ya overseas students wanaopata scholarships zinazoratibiwa na wizara ya elimu ya nchi za.CHINA,Algeria, Urusi, India, Cuba, Australia,nk.utapata jibu.Acheni kuzungumza upumbavu......njooni na data hapa.
Ni wanafunzi wangapi wamepata schorlaships??????na kati yao hao
wangapi ni waislamu????????
jamani ukiona watu wanaanza kuzungumzia jambo hili ujue ni karibuni tu tutaka mwalimu arudi ili kutufundisha uzalendo. nakumbuka miaka yote waislamu ndo walikuwa wanalalamika kunyimwa fursa. nasi tuliwapa majina mbalimbali. leo sie wenyewe tunakula matapishi yetu,...ni aibu. salva aliandika makala nzima akiwa rai kuonyesha udini wa jk katk kuchagua mabalozi na mawaziri. hii inaweza kuleta dhana mbaya kwamba alhaji hafai kuongoza wizara hata akiwa profesa. acheni hizo..Acheni kuzungumza upumbavu......njooni na data hapa.
Ni wanafunzi wangapi wamepata schorlaships??????na kati yao hao
wangapi ni waislamu????????
no data no right to speak...hivi ktk baraza la mawaziri waislamu ni wangapi? watendaji wa serikali ni wangapi waislamu? wakuu wa miko? wakuu wa wilaya? haya ni mawazo mgando tukianza kutazamana kwa dini zetu...watu nyie ni hatari sana kwa maisha ya duniani...Wizara ya Elimu inayoongozwa na Alhaj Jumanne Maghembe (MB) akisaidiwa na Hajjat Mwantum Mahiza (MB) hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya upendeleo hususan katika ugawaji wa Scholarship za kwenda kusoma nje. Katibu mkuu wa wizara hii ni Alhaj Khamis Dihenga
Jamaa yangu wa karibu wizarani kanitonya kuwa jamaa wana mkakati wa kusomesha vijana wao wengi iwezekanavyo eti wameonewa sana na sasa ni zamu yao.
Kimsingi hakuna tatizo waislamu kupata nafasi hizo, lakini hata kama kuna mkristo kazidi sifa bado anakatwa ili nafasi apewe muislamu hapo ndio tatizo langu lilipo.
Jamani hili taifa lnakwenda wapi sasa haya mambo kwa si ya kuya zarau kuna njama za kuisilimisha nchi hii.
Mimi namshangaa JK iweje wizara moja aweke waislamu watupu? kuna kitu kinapikwa hapa tuwe macho
you are a real truth of your ownself...so it means you planned to kill them at mwembechai and now you wait for another chance...ooohh gosh!!!Watu wengi tunasubiri sababu ya kuwakong'oli vilivyo kama yaliyotokea Mwembechai. .