UDOM bado

UDOM bado

KaziIendelee

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
327
Reaction score
229
Baada kukaa chuoni kwa wiki na nusu hivi,sasa nimeshamaliza kazi yangu ya kuchunguza ukuaji wa kitaaluma,na changamoto zake.Nilichokiona hapa ni majengo mazuri yaliyobeba wengi wasiojituma lkn mwisho wa siku wanapata degree,Tanzania tunaenda wapi?.Wanachuo wa UDOM hasa wasichana,kitabia si shwari,Mhe. Mkapa kemea hili na mikakati ya kupambana na ukahaba UDOM uwekwe wazi.
 
chuo hakimuajiri mtu, ila kichwa chake..
 
Baada kukaa chuoni kwa wiki na nusu hivi,sasa nimeshamaliza kazi yangu ya kuchunguza ukuaji wa kitaaluma,na changamoto zake.Nilichokiona hapa ni majengo mazuri yaliyobeba wengi wasiojituma lkn mwisho wa siku wanapata degree,Tanzania tunaenda wapi?.Wanachuo wa UDOM hasa wasichana,kitabia si shwari,Mhe. Mkapa kemea hili na mikakati ya kupambana na ukahaba UDOM uwekwe wazi.

Hongera maana hapo ndo mwisho wako wa kufikiri!
 
Huyo nae msomi kaleta thread ambayo amechunguza wiki na nusu! Mleta uzi umesoma chuo kikuu kipi maana hata ulicho kiandika sija kufahamu kabisa unamanisha nini? Kama hawajitumi kusoma wanafaulu vipi? WEWE umepitia matokeo ya watu wangapi hadi useme taaluma udom iko nyuma? Je hao mabinti unaosema kimaadili wamepotea uliwaona wakitenda yapi? Katika mazingira yapi? Umeenda na vyuo vingine ukaona wanavyo behave? Kweli kama degree ndio tunajenga hoja hivyo basi hapa Taifa halina wasomi asilani.
 
Jenga hoja vizuri mkuu kwasababu husemi hasa eneo li lilo na udhaifu,UDOM kuna college nyingi,hujawa wazi.Katika hali hiyo hutapata michango uliyo taka.
 
sasa mkuu hilo ni hitimisho ya ripoti uliyoandika baada ya utafiti ulioufanya au ni utangulizi?
 
baada kukaa chuoni kwa wiki na nusu hivi,sasa nimeshamaliza kazi yangu ya kuchunguza ukuaji wa kitaaluma,na changamoto zake.nilichokiona hapa ni majengo mazuri yaliyobeba wengi wasiojituma lkn mwisho wa siku wanapata degree,tanzania tunaenda wapi?.wanachuo wa udom hasa wasichana,kitabia si shwari,mhe. Mkapa kemea hili na mikakati ya kupambana na ukahaba udom uwekwe wazi.

ukanjanja at work! Ninashindwa kuamini kama hili limeletwa na msomi wa walau ngazi ya cheti! ... Kwa ujenzi huu wa hoja,mmm......
 
Alikutuma nani ufanye huo utafiti? na je anakulipa? kwa iyo kwa iyo wiki uliyosema umegundua wanafunzi wanafaulu kwa kubebwa, tupe ushahidi basi kipi kimekufanya useme ivyo, usiwe unakurupuka bhana apa kuna ma great thinker
 
Acha kutudanganya, kwa wiki 2 wanafunzi wa udom walikuwa wakifanya mitihan, sasa sijui uchunguzi wako wa wiki moja ulikuwa unaufanye, kajipange kadanganye watoto wenzio
 
Kazi tunayo hii ni mojawapo ya magonjwa sugu nchi hii 'kukurupuka' pengne ulikua na hoja ya msingi lakini hujakaa ukatulia ndo maana umeleta huu utumbo hapa!! Jipange mkuu
 
Mbaya zaidi wapo likizo wengine ndo wamemaliza jana mitihani wengine wamesharudi kwao wikisasa hiyo reseach uliifanyia cbe?? shame on u na kipindi cha mitihani hata daladala za town zinakosa abiria.
 
College zote zina mapungufu makubwa,hasa kwa upande wa wanachuo.
 
Hitimisho la ripoti linaenda wizara ya elimu J3.Ila nimejaribu kuwaonjesha tu ili mpate kujua kwamba Udom bado
 
Kazi tunayo hii ni mojawapo ya magonjwa sugu nchi hii 'kukurupuka' pengne ulikua na hoja ya msingi lakini hujakaa ukatulia ndo maana umeleta huu utumbo hapa!! Jipange mkuu

Ni rahisi kuuita utumbo,ila Udom ni mahali sahihi palipobeba watu ambao wengi hupata shahada wa ambazo si sahihi kwao.
 
Alikutuma nani ufanye huo utafiti? na je anakulipa? kwa iyo kwa iyo wiki uliyosema umegundua wanafunzi wanafaulu kwa kubebwa, tupe ushahidi basi kipi kimekufanya useme ivyo, usiwe unakurupuka bhana apa kuna ma great thinker
Fanya kazi usitegee malipo
 
Ni rahisi kuuita utumbo,ila Udom ni mahali sahihi palipobeba watu ambao wengi hupata shahada wa ambazo si sahihi kwao.

Umesoma wapi wewe?

Njoo uchukue na ww ambayo Sio sahihi kwako?

When an allegator come from the
ocean and tell you a crocodile mother is sick will you doughty?

Unabisha bisha tu wakati kichwani kwako hakuna kitu. Ringia ujuzi uliopo kichwani Sio cheti cha chuo gani.

ASent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Fanya kazi usitegee malipo

Watu wasio na Kazi, Kazi yao kuu ni kupika majungu (rumour mongers) kama wewe.

Watu mnang'ang'ana na Udom tu bila tafiti yoyote mnakuja na mawazo ya mtaani tu (laymen perspectives)

No research no say.

Halafu unajiita msomi, umesoma lakini hujaelimika

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom