Hawa watu wanaboa sana na maneno yao wakati vyuo vyao hakuna kitu
Ninaomba Mungu kuwe na inter college examinations tuone kama UDSM wana uwezo wa kufanya mitihani ya Udom maana Udom tunaona Udsm wanafaidi sana lkn hatuongei
Watu tunakutana Nao Btp hata Log book hawajui halafu wanatamba tu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ninaomba Mungu kuwe na inter college examinations tuone kama UDSM wana uwezo wa kufanya mitihani ya Udom maana Udom tunaona Udsm wanafaidi sana lkn hatuongei
Watu tunakutana Nao Btp hata Log book hawajui halafu wanatamba tu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
