Direct cost unalipa yote ila ada utalipa kiasi ambacho heslb hawajakulipia..mfano umepata asilimia 100 then hutolipa ada ila direct cost utalipa yote na kama umepata asilimia 80% then utatakiwa umalizie hiyo 20% ndo usajiliwe na unaweza ukalipa 10% kwa kila semister...