Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Serikali ya wanafunzi kutoa tamko saa kumi jioni kama hakuna dalili ya kufanya mitihani.
Poleni sana, nafikiri uko humanities, kinachonishangaza hapa ni kwamba baadhi ya mitihani inayoendelea sasa huku education walimu wa kozi husika ni wa humanities.
Sasa sijui inakuwaje huko wanagoma wakati huku mtihani unaendelea kama kawaida.