UDOM kimenuka.

Serikali ya wanafunzi kutoa tamko saa kumi jioni kama hakuna dalili ya kufanya mitihani.

Poleni sana, nafikiri uko humanities, kinachonishangaza hapa ni kwamba baadhi ya mitihani inayoendelea sasa huku education walimu wa kozi husika ni wa humanities.

Sasa sijui inakuwaje huko wanagoma wakati huku mtihani unaendelea kama kawaida.
 
Twilumba mie mzima.
Salamu zimefika.
 
Last edited by a moderator:
Tky Mi nk CNMS
 
Last edited by a moderator:
Iliwahi kutokea Mlimani back in days mbona serikali walifyata.
 
Hii nchi lazima kugoma tuuu, kesho sitashangaa wakilipwa mafao yao!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…