Udom kukosa kozi kama civil , electrical na mechanical engineering ni tatizo

Udom kukosa kozi kama civil , electrical na mechanical engineering ni tatizo

Mr Pixel3a

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
5,710
Reaction score
8,579
Poleni na majukumu Wakuu,hoja muhimu ni kwamba Imekaaje chuo Chuo kikubwa nchini kam UDOM kukosa kozi tajwa hapo juu ,ikizingatiwa ni chuo chenye uwezo wa kubeba wanafunzi wengi Tanzania.Kwanini wadau na wizara zisipunguze mzigo kwa vyuo kama Udsm,DIT,MUSTnk maana vinachukua wanafunzi wengi ilhali uwezo wa kuwabeba ni mdogo,Je wadau wa elimu mnalionaje hili suala ,maoni jumuishi na nyongeza ya ushauri ikizingatiwa kozi tajwa ni kozi mama katika industry ya Engineering..
 
Hivi kati ya
Electrical and biomedical
Electrical and hydropower
Electrical and telecom
Ipi ni kozi nzuri kwenye soko la ajira
 
Poleni na majukumu Wakuu,hoja muhimu ni kwamba Imekaaje chuo Chuo kikubwa nchini kam UDOM kukosa kozi tajwa hapo juu ,ikizingatiwa ni chuo chenye uwezo wa kubeba wanafunzi wengi Tanzania.Kwanini wadau na wizara zisipunguze mzigo kwa vyuo kama Udsm,DIT,MUSTnk maana vinachukua wanafunzi wengi ilhali uwezo wa kuwabeba ni mdogo,Je wadau wa elimu mnalionaje hili suala ,maoni jumuishi na nyongeza ya ushauri ikizingatiwa kozi tajwa ni kozi mama katika industry ya Engineering..
Kweli kozi hizo zilitakiwa ziwepo zamani
 
Kweli ifike hatua udom waone haja ya kuongeza hizo field za engineering
 
Back
Top Bottom