Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,540
"Andergraduate" What on earth is this? Acha tu mpate hizo carry!
Yaani kama kweli huyu jamaa ni mwanafunzi wa UDOM... It's a disgrace kwa kweli.. khaa..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Andergraduate" What on earth is this? Acha tu mpate hizo carry!
Hivi kwa nini?assistance lecha hasa wa social science mnawapiga bit wadogo zetu kwamba lazima umkerishe koz wakiwa mwaka wa 3,tena unajisifu na kutaja list ya watu uliowakerisha ambao wamesoma degree kwa miaka 4 had 5, hivi kwa nini tabia hii wanayo assistance lecha na matutorial lecha?kwanini ? Dk, na Prof hawana tabia hii
Hivi kwa nini?assistance lecha hasa wa social science mnawapiga bit wadogo zetu kwamba lazima umkerishe koz wakiwa mwaka wa 3,tena unajisifu na kutaja list ya watu uliowakerisha ambao wamesoma degree kwa miaka 4 had 5, hivi kwa nini tabia hii wanayo assistance lecha na matutorial lecha?kwanini ? Dk, na Prof hawana tabia hii
ukisoma utafaulu,,,,,,that z the principle,usitegemee notez za lecturer,waambieni wasome,icje ikawa malecturer hawana problem
Yaani kama kweli huyu jamaa ni mwanafunzi wa UDOM... It's a disgrace kwa kweli.. khaa..!!
Tatizo sio ma lecturer, wenye matatizo ni asistance lecha na ma tutorial lecha..
Hivi kwa nini?assistance lecha hasa wa social science mnawapiga bit wadogo zetu kwamba lazima umkerishe koz wakiwa mwaka wa 3,tena unajisifu na kutaja list ya watu uliowakerisha ambao wamesoma degree kwa miaka 4 had 5, hivi kwa nini tabia hii wanayo assistance lecha na matutorial lecha?kwanini ? Dk, na Prof hawana tabia hii
Hivi kwa nini?assistance lecha hasa wa social science mnawapiga bit wadogo zetu kwamba lazima umkerishe koz wakiwa mwaka wa 3,tena unajisifu na kutaja list ya watu uliowakerisha ambao wamesoma degree kwa miaka 4 had 5, hivi kwa nini tabia hii wanayo assistance lecha na matutorial lecha?kwanini ? Dk, na Prof hawana tabia hii
unamaanisha BAVICHA ile ya chadema au?Akili za Bavicha hizi...