UDOM mbona kimyaaaa?

Hawajamaliza oral interview?
 
mimi habari nilizopata ingawa sio rasmi ni kwamba,hawa jamaa kwa kada zingine isipokuwa afya na madereva zoote zimesitishwa kuitwa interview ya pili kwa kuwa govt imechacha haina chapaa za kutosha kuajiri watu wotw hao ingawaje ndo mahitaji halisi ya chuo,ila watawaita tu wote waliopass kwa hyo intavyu,nikaambiwa nivute subira,udini tusiuweke jamani mnona hawa udom hawana kashfa hii,tusiwahukumu jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…