ng'wana kwando
Member
- Oct 8, 2014
- 21
- 2
Jambo ambalo lililopo UDOM ni kumuondo Philipo Mwakibinga ambaye ana mlengo wa CHADEMA na jambo hili linaonekana tokea wiki iliopita utawala walipanga katika kikao cha siri na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi.
Wanafunzi wameamua kutoingia madarasani mpaka hapo watakapomuona waziri mkuu wao huyo wa kitivo cha sayansi na sana kwani wanajua hana kosa kwa ni mgogoro wake na Rais wa Federation ambaye ni UVCCM aliompigia kampeni asimu wake na kupelekea kushinda na kuamua kuchakachua.
Hii ikiratibiwa vyema na Mracha vice Chancellor wa Chuo cha Dodoma na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma.
Wanafunzi wameamua kutoingia madarasani mpaka hapo watakapomuona waziri mkuu wao huyo wa kitivo cha sayansi na sana kwani wanajua hana kosa kwa ni mgogoro wake na Rais wa Federation ambaye ni UVCCM aliompigia kampeni asimu wake na kupelekea kushinda na kuamua kuchakachua.
Hii ikiratibiwa vyema na Mracha vice Chancellor wa Chuo cha Dodoma na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma.