UDOM: Mwakibinga hana kosa, wanafuzi wagoma kuingia darasani mpaka wamuachie huru

wengi mna changia hamuelewi sio kua watu wanataka waongezewe pesa HAPANA ni kwamba hata hicho kidogo walichopangiwa hawajapewa.
 

Someni #mburura nyie. Halaf nimechukia sana kuona uzi wakiji.ga kama huu. Mtu mwenyewe hujajua namna yakupanga visa kwenye taarifa yako,badala yakukazana darasanai ujue reporting angalau,wewe unawaza upuuuzi.

U'CCM na U'CHADEMA hapo UDOM haukuanza leo. Tangu miaka kadhaa huko nyuma(sisi tlowatangulia hapo), yalikuwepo. Na hakuna mwaka viongozi wenye elements za CHADEMA wamewahi kutusaidia zaid ya kutuingiza kwenye migomo na fujo tu (pamoja na kwamba U'CHADEMA ndio ulowasaidia kuingia madarakani).


At the end of the time, mapumbafu yalikuwa #majizi & #mafisadi_papa hakuna mfano. Ndo maana nkaona CHADEMA ni UPUUZI tu. Maana kampeni huchangiwa na Wabunge na makamanda nchi nzima. But becomes ""business as usual""

*****:REJEA; Ambrose Maratho. Rais wa #CHSS mwaka 2009/2010. Nafuu hata Telly angesukuma gurudumu. Hao tlowaweka kwa mwamvuli wa #UKAMANDA walitufyonza hadi huruma.


Nikushauri dogo; achana na mambo hayo. Ni UBATILI MTUPU.
 
Kila mtu na lake kwrnye hii topic ... wengine vichwa kama wameloweka kwenye ndoo za maji... hamuijui udom mnabwabwaja tuu
 

Hebu someni na mziheshimu By Laws za shule kila kitu mnataka kuandamana
Mtapigwa tu
 

UNA dhambi ya kuwa Muoga
 
philipo njooo uchukue jimbo mbeya!!! wewe ni mwanaharakati wa ukweli!!! umepigana vya kutosha!! unahistoria inayotufaaa!!!
 
Mleta mada unaongea upuuuz mtupu,watu tupo Darasani kama kawaida na vipindi vinaendelea nani akae nje na wakati UE inakaribia??usidanganye watu tymia akili zaidi hakuna mtu anaweza mbeba huyu jamaa anatafuta umaarufu wa kijinga saaaana

Upo darasani au unachati, fany kilichokupelaka udom, nje panakusubria
 

Acha kuleta umbea jukwaani

Tatizo mnapenda kupata popularity kwa mambo ya kipuuzi
 
Hivi watoto wa siku hizi wamekuaje? Hii habari ya kugoma kwa sababu ya siasa za CCM na vyama pinzani haikuwepo kwenye madai yetu ya msingi enzi hizo nikiwa chuoni miaka ya mwanza ya tisini.
 
Nyie watu wa UDOM lazima
mtambue kuwa hicho ni chuo cha
kata hivyo mnapotaka posho ya
10000 hatuwaelewi.
Hivi wewe mnyama haram unajua kuwa kuna watu kama mimi ambao tumekuja udom kwa ufaulu mkubwa kuliko hao walioko kwenye vyuo unavyofikiri ni vikubwa.Kwanza uliielewa mada?.Nahisi upeo wako ni mdogo na kama utakuwa umesoma inawezekana dada yako alitoa rushwa kwa niaba yako ili ufaulishwe.
 
UNA dhambi ya kuwa Muoga








Niko jasiri mkuu. Pamoja na ujasiri,huwezi ukafanya movements kibubu tu. Lazima kuwepo vitu convincing. Sasa kiongozi mmemuamini then anakuwa mbwa mwitu,kwamba muendelee kumtrust?

Huko nikwenda kibubu! You can not convince me such a way easy.
 
Huu uzi nafikiri ni spesho kwa wale wanaosoma sasa pale UDOM tu. Maana sisi wengine tusio kwenye kampasi yao hata hatuelewi tatizo, na michango inaendelea. Wengine wanasema wamegoma wengine wanakanusha humo humo. Haijulikani nje ya UDOM huyo PM wao amefanya kosa gani, endeleeni wadau.
 
Mleta mada unaongea upuuuz mtupu,watu tupo Darasani kama kawaida na vipindi vinaendelea nani akae nje na wakati UE inakaribia??usidanganye watu tymia akili zaidi hakuna mtu anaweza mbeba huyu jamaa anatafuta umaarufu wa kijinga saaaana

upo darasani unasoma jf
 
Ni dakika chache tu kuna gari za police zimekuja hapa chuoni humanities mabwenini na kumkamata rais na waziri mkuu. Inavyoonyesha wamefukuzwa chuo kwa sababu wamechukua property zao zote, so watetezi na wanaharakati ndo wameondoka hivyo. Ina-pain sana, tena sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…