Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
Poleni lakini matokeo ya mgomo ndiyo yako hivyo halafu baada ya hapo watu wanakuambia pole bana usijali mungu yupo tutawasiliana mshua,nazungumza haya kwakuwa yaliwahi kunikuta nikafukuzwa pekee yangu hakuna hata wa kunisaidia kubeba begi hata demu wangu tu sikumuona kuanzia hapo nikajua kumbe unaweza kujifanya kupigania watu kumbe wamekuweka chambo tu likisanuka unabaki mwenyewe sitaki mgomo tena hata uwe wa aina gani sitaki kusikia wala kushiriki sitaki kabisa.
Du poleni sana....ila uwezekano wa kuwarudisha upo kwa nyie mliobaki kupitia silidarity..
hii ndo shida ya kudandia treni kwa mbeleaisee walimtongoza mkufunzi au?
hii ndo shida ya kudandia treni kwa mbele
Du poleni sana....ila uwezekano wa kuwarudisha upo kwa nyie mliobaki kupitia silidarity..
Jambo ambalo lililopo udom ni kumuondo Philipo Mwakibinga ambae anamlengo wa chadema na jambo hili linaonekana tokea wiki iliopita utawala walipanga katika kikao cha siri na viongozi wa chama cha mapinduzi.
wanafunzi wameamua kutoiingia madarasani mpaka hapo watakapo muona waziri mkuu wao huyo wa kitivo cha sayansi na sana kwani wanajua hana kosa kwa ni mgogoro wake na Rais wa Federation ambaye ni uvccm aliompigia kampeni asimu wake na kupelekea kushinda na kuamua kuchakachua.
Hii ikiratibiwa vyema na Mracha vice Chancellor wa Chuo cha dodoma na Mwenyekiti wa ccm mkoa wa dodoma
Nilikuwa Najua Unamaanisha James Rocky Mwakibinga Mwanangu Mwenyewe Na Jembe Langu Ndani Ya CCM.
tunaongelea Mchele,unatuletea pumba
namkumbuka philipo mwakibinga enz hizo udom.alisha kaa miaka miwil nyumban akarudishwa nw amerud tena na.migomo ime resume ni.moja ya watu.majasiri.sana asieogopa kitu japo alishafukuzwa huko nyuma lakin hapend kuona haki.ya mtu inapokwa kudos mwakibinga ipo.siku tanzania nzima itakujua ama kwa hakika jasir haachi asiliJambo ambalo lililopo UDOM ni kumuondo Philipo Mwakibinga ambaye ana mlengo wa CHADEMA na jambo hili linaonekana tokea wiki iliopita utawala walipanga katika kikao cha siri na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi.
Wanafunzi wameamua kutoingia madarasani mpaka hapo watakapomuona waziri mkuu wao huyo wa kitivo cha sayansi na sana kwani wanajua hana kosa kwa ni mgogoro wake na Rais wa Federation ambaye ni UVCCM aliompigia kampeni asimu wake na kupelekea kushinda na kuamua kuchakachua.
Hii ikiratibiwa vyema na Mracha vice Chancellor wa Chuo cha Dodoma na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma.
Poleni lakini matokeo ya mgomo ndiyo yako hivyo halafu baada ya hapo watu wanakuambia pole bana usijali mungu yupo tutawasiliana mshua,nazungumza haya kwakuwa yaliwahi kunikuta nikafukuzwa pekee yangu hakuna hata wa kunisaidia kubeba begi hata demu wangu tu sikumuona kuanzia hapo nikajua kumbe unaweza kujifanya kupigania watu kumbe wamekuweka chambo tu likisanuka unabaki mwenyewe sitaki mgomo tena hata uwe wa aina gani sitaki kusikia wala kushiriki sitaki kabisa.