Mswati Original
Member
- Sep 9, 2014
- 59
- 20
Nyie vitoto, Wazazi wenu waliwapeleka UDOM kusoma na si vinginevyo. Inatakiwa Kabla hujafanya lolote uwaulize wazazi wako maana ndio waliofanya uwe hapo na si vinginevyo. Mambo ya kufuata mkumbo mtakuja kujuta.