DOKEZO UDOM ni Chuo Kikuu kisichobadilika, ubora wa utawala bado uko chini

DOKEZO UDOM ni Chuo Kikuu kisichobadilika, ubora wa utawala bado uko chini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,265
Reaction score
2,919
Kwa mara nyingine tena napata wasi wasi mkubwa juu ya ubora wa UDOM.

Wiki hii sasa wanafunzi wengi wa chuo hiki wanahangaika kuthibitisha kwamba wanastahili kuhitimu mwaka huu yaani mwezi huu! Wanafunzi ndio wanahangaika kupiga simu chuoni kuwakumbusha watawala kwamba wao ni wahitimu.

Chuo chenyewe hakina kumbukumbu za uhakika juu ya wanafunzi wao. Hawajui nani anastahili kuhitimu au hapana.

Hiki ni chuo kikuu kweli? Wanafunzi wako Mwanza, Mtwara, Kigoma, nk. hawaoni majina yao kwenye wahitimu, lakini wanaambiwa njooni chuoni kwa wakuu wa idara kutatua utata huo. Sijui nani atalipia gharama hizo!

Hiki chuo kinahitaji mwanzo mpya, siyo kuleta watawala wapya. Hali ni ile ile! Kwa hali hii unawezaje kukwepa tatizo la vyeti kwa watu ambao hawakuwahi kuwa wanfunzi wa UDOM.

Watajitetea, but It's just rubbish!!
 
iki hii sasa wanafunzi wengi wa chuo hiki wanahangaika kuthibitisha kwamba wanastahili kuhitimu mwaka huu yaani mwezi huu! Wanafunzi ndo wanahangaika kupiga simu chuoni kuwakumbusha watawala kwamba wao ni wahitimu. Chuo chenyewe hakina kumbukumbu za uhakika juu ya wanafunzi wao. hawajui nani anastahili kuhitimu au hapana.
Duh hii ni kweli lakini? Yaani UDOM baada ya miaka yote hiyo haina hata computerised system ya kuweka track majina ya wanafunzi?

Hawana faculty and council meetings za kupitisha majina ya watahiniwa?

Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
 
Kwa mara nyingine tena napata wasi wasi mkubwa juu ya ubora wa UDOM. Wiki hii sasa wanafunzi wengi wa chuo hiki wanahangaika kuthibitisha kwamba wanastahili kuhitimu mwaka huu yaani mwezi huu! Wanafunzi ndo wanahangaika kupiga simu chuoni kuwakumbusha watawala kwamba wao ni wahitimu. Chuo chenyewe hakina kumbukumbu za uhakika juu ya wanafunzi wao. hawajui nani anastahili kuhitimu au hapana. Hiki ni chuo kikuu kweli? Wanafunzi wako mwanza, mtwara, kigoma, nk. hawaoni majina yao kwenye wahitimu, lakini wanaambiwa njooni chuoni kwa wakuu wa idara kutatua utata huo. sijui nani atalipia gharama hizo!

Hiki chuo kinahitaji mwanzo mpya, siyo kuleta watawala wapya. Hali ni ile ile! Kwa hali hii unawezaje kukwepa tatizo la vyeti kwa watu ambao hawakuwahi kuwa wanfunzi wa UDOM. Watajitetea, but It's just rubbish!!
Kama viongozi maprofesa na madokta wanafanya mambo ya aina hii ina maana gani kulaumu rais anayefanya vibaya hata kama ana digrii ya mtandaoni?

Dawa yao ni kuwafikisha mahakamni walipe gaharama zote za masomo na kuachana na digrii yao. Watu wa Law School chukueni dili hilo.

Tafuta mmojawapo ambaye hatawekwa kwenye list, awadai gharama zake za masomo na kukataa digrii yao walioshindwa kumpa.

Niliwahi sikia fununu za mheshimiwa mmoja ambaye hakuwahi kukaa darasani chuoni hapo, lakini siku ya kuhitimu akaonekana ndani ya list na joho. Sasa nimeelewa!!!
 
Si UDOM tu, vyuo vingi ni chenga, Mfano tu CBE ni shida. Ni heri kusoma nchi za Ulaya
 
Kama viongozi maprofesa na madokta wanafanya mambo ya aina hii ina maana gani kulaumu rais anayefanya vibaya hata kama ana digrii ya mtandaoni? Dawa yao ni kuwafikisha mahakamni walipe gaharama zote za masomo na kuachana na digrii yao. Watu wa Law School chukueni dili hilo. Tafuta mmojawapo ambaye hatawekwa kwenye list, awadai gharama zake za masomo na kukataa digrii yao walioshindwa kumpa.

Niliwahi sikia fununu za mheshimiwa mmoja ambaye hakuwahi kukaa darasani chuoni hapo, lakini siku ya kuhitimu akaonekana ndani ya list na joho. Sasa nimeelewa!!!
Ikoje hiyo mkuu na mimi nikaipige
 
Ni aibu kubwa hii
UDOM inakuwa na tofauti gani na chekechea?
 
Mimi nimesoma UDOM na hii changamoto kweli ipo, baadhi ya watu huwa hawaonekani kwenye kitabu Cha wahitimu hasa wale waliocarry baadhi ya masomo mwaka mwa mwisho.

Na sababu kubwa ni kwamba UDOM ni chuo chenye college Saba, walimu wa college moja huenda kufundisha college nyingine ambapo kila college Ina uongozi wake.

Inaonekana hakuna connection au mawasiliano mazuri baina ya colleges.

ila pia hata kwenye matokeo nasikia siku hizi wamerekebisha, Ila huwa yanashake unaweza ukapata somo B plain ukajikuta yamebadilika umekula sup.

Ishawahi kunitokea somo nimepata B+ ikaja kuwa C na hii ilikuwa kwa wanafunzi wote wa course hiyo, na malecturers wakakataa kubadilisha tena wakaweka notice kabisa, GIGO (garbage in garbage out), ulichokiona ndio ulichokipata.

Nadhani changamoto hizi (nyingi) itakuwa katika vyuo vingi au karibu vyote isipokuwa UDOM ni case study tu kwa ajili ya popularity yake.
 
Kwa mara nyingine tena napata wasi wasi mkubwa juu ya ubora wa UDOM.

Wiki hii sasa wanafunzi wengi wa chuo hiki wanahangaika kuthibitisha kwamba wanastahili kuhitimu mwaka huu yaani mwezi huu! Wanafunzi ndo wanahangaika kupiga simu chuoni kuwakumbusha watawala kwamba wao ni wahitimu.

Chuo chenyewe hakina kumbukumbu za uhakika juu ya wanafunzi wao. hawajui nani anastahili kuhitimu au hapana.

Hiki ni chuo kikuu kweli? Wanafunzi wako Mwanza, Mtwara, Kigoma, nk. hawaoni majina yao kwenye wahitimu, lakini wanaambiwa njooni chuoni kwa wakuu wa idara kutatua utata huo. sijui nani atalipia gharama hizo!

Hiki chuo kinahitaji mwanzo mpya, siyo kuleta watawala wapya. Hali ni ile ile! Kwa hali hii unawezaje kukwepa tatizo la vyeti kwa watu ambao hawakuwahi kuwa wanfunzi wa UDOM.

Watajitetea, but It's just rubbish!!
Ile ni takataka kama takataka zingine
 
Mimi nimesoma UDOM na hii changamoto kweli ipo, baadhi ya watu huwa hawaonekani kwenye kitabu Cha wahitimu hasa wale waliocarry baadhi ya masomo mwaka mwa mwisho.

Na sababu kubwa ni kwamba UDOM ni chuo chenye college Saba, walimu wa college moja huenda kufundisha college nyingine ambapo kila college Ina uongozi wake.


Inaonekana hakuna connection au mawasiliano mazuri baina ya colleges.

ila pia hata kwenye matokeo nasikia siku hizi wamerekebisha, Ila huwa yanashake unaweza ukapata somo B plain ukajikuta yamebadilika umekula sup.


Ishawahi kunitokea somo nimepata B+ ikaja kuwa C na hii ilikuwa kwa wanafunzi wote wa course hiyo, na malecturers wakakataa kubadilisha tena wakaweka notice kabisa, GIGO (garbage in garbage out), ulichokiona ndio ulichokipata.



Nadhani changamoto hizi (nyingi)itakuwa katika vyuo vingi au karibu vyote isipokuwa UDOM ni case study tu kwa ajili ya popularity yake.
Kwa maelezo haya naweza kusema kweli yastahili kuanza upya. Kiongozi mwenye PhD akisingizia wingi wa college na umbali wa college ndo iwe sababu ya mwaka huu na karne hii ya ICT, basi nitaomba ruhusua ya kumwita mpumbavu. Yaani upate B+ halafu i-shake iwe C. Ukiona hivyo ni ubora duni wa mwalimu na usahihisaji wake.

Viongozi hawa wanastahili kulaaniwa kwa nguvu zote na tuwaambie waondoke na sifa zao mshenzi. Natumia maneno haya kwa sababu, watakifanya chuo hiki chenye capacity kubwa kuonekana hakifai na kuharibu sifa ya waliosoma hapo. Hatuna sababu ya kusema kama wameshindwa, tayari wameshindwa.
 
Kwa hiyo hao maprofesa walioko hapo hawajui kabisa kugusa kompyuta za kumbukumbu? Yaani tigo, vodacom, airtel nk. wanaweza tunza taarifa za wateja mamilioni lakini chuo kikuu cha TZ hakina kumbukumbu za wanafunzi elfu kadhaa? Fu*k useless professors!
 
Kwa mara nyingine tena napata wasi wasi mkubwa juu ya ubora wa UDOM. Wiki hii sasa wanafunzi wengi wa chuo hiki wanahangaika kuthibitisha kwamba wanastahili kuhitimu mwaka huu yaani mwezi huu! Wanafunzi ndo wanahangaika kupiga simu chuoni kuwakumbusha watawala kwamba wao ni wahitimu. Chuo chenyewe hakina kumbukumbu za uhakika juu ya wanafunzi wao. hawajui nani anastahili kuhitimu au hapana. Hiki ni chuo kikuu kweli? Wanafunzi wako mwanza, mtwara, kigoma, nk. hawaoni majina yao kwenye wahitimu, lakini wanaambiwa njooni chuoni kwa wakuu wa idara kutatua utata huo. sijui nani atalipia gharama hizo!

Hiki chuo kinahitaji mwanzo mpya, siyo kuleta watawala wapya. Hali ni ile ile! Kwa hali hii unawezaje kukwepa tatizo la vyeti kwa watu ambao hawakuwahi kuwa wanfunzi wa UDOM. Watajitetea, but It's just rubbish!!
Hallelujah
 
Si udom tu, vyuo vingi ni chenga, Mfano tu CBE Ni shida,Ni Jeri kusoma nchi za ulaya
UDOM inasikitisha! Sasa hivi kila anayefahamiana na mteuaji, anapeleka jina la ndugu au rafiki yake.

Nimedodosa hali ya ndani ya chuo, inatisha! Tangu viongozi wa chini hadi juu ni kichwa cha mwendawazimu. Nasikia kuna wakuu wa idara wanakusanya pesa kwa wanafunzi na kubadilishiwa matokeo wakato wowote wa kipindi cha masomo yao. Ngoja tuone tuendako maana rais alisema naye anatamani PhD.
 
Nilisikia watu wanafuatilia kuwekwa kwenye list.Kwakweli inafedhehesha.
Kuwekwa kwenye list ya nini?? Kwani hawana system inayotambua wahitimu.

Vyuo vingine ni kila kitu mtandaoni, hata ile mahafali yamekaribia basi wanaotaka kufanya wataaccept mtandaoni na ambao hawataki wanaignore.

Sasa zaidi ya watu 10k wawe wanafatilia jambo moja si ni kero ya kipuuzi kabisa hiyo.
 
UDOM inasikitisha! Sasa hivi kila anayefahamiana na mteuaji, anapeleka jina la ndugu au rafiki yake.

Nimedodosa hali ya ndani ya chuo, inatisha! Tangu viongozi wa chini hadi juu ni kichwa cha mwendawazimu. Nasikia kuna wakuu wa idara wanakusanya pesa kwa wanafunzi na kubadilishiwa matokeo wakato wowote wa kipindi cha masomo yao. Ngoja tuone tuendako maana rais alisema naye anatamani PhD.
Kama wamefikia huko ni hatari sana aisee.
 
Kama wamefikia huko ni hatari sana aisee.
Tangu mwanzo chuo hiki ni shiida tu! Mara ngono hovyo hovyo! Mara vyeti nje nje! mara marks za bure kwa wanafunzi. Baada ya kuzoezwa haya yote, sasa naamini viongozi nao wamefuzu kwa ujinga-jinga, wanajiongeza kazi iendelee! Nao sasa wanaamua wayapendayo.
 
Back
Top Bottom