hamidshaban
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 262
- 32
sikuwa na maana ya kuwa umekosea. Ni aidha ulikuwa na haraka au ulioverlook or the device you used had no enough facilities to perfom punctuation. Msomi mzima ungeshindwaje kuandika sentensi ndg hivyo? Unapoandika kitu andika ili @ mtu aelewe .