Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

Ukiweka kozi na idara iliyopo utakuwa na mantiki so far unabwabwaja tu!!!
Unataka ufuatwe PM ili iwe nini????!!!!

Kama wewe una facts tuma kwa PM yangu hizo courses zilizochakachuliwa!!!!!!!Au mpe Rais wa college husika then nipe namba yake PM Acha longolongo!!!!!

Kuhusu dini ni maneno yapo miaka nenda rudi ila hayana proof. Principal wa hiyo college unamjua???!!!
If yes mmempelekea hili kiwa vyumba havitoshi???!!!
DVC-ARc mmempelekea haya????!!!!
Serikali ya wanafunzi????!!!
 

Wewe unasoma college gani?

Kama uko education hebu pita maeneo ya cafe uone koz zilivyo kuna carry over za kutosha kwa wote wasiofikisha kiwango husika.

Mim nasoma udom niko education , hayo ulioandika hakuna kabisa hapa.

Bahati mbaya niko mbali ila ningekuwekea ushahid baadh ya walioshindwa kufikisha hizo course work na wamecarry kozi.
 
Naomba nijitambulishe kwanza mimi ni mwanafunzi wa UDOM ambaye nilidisco UDSM. Sasa tokea nimeanza kusoma hapa UDOM kuna mambo nayaona hayako sawa. kama inavyojulikana wanafunzi wa hapa wengi uwezo wa darasani ni mdogo hivyo tunawaburuza tu darasani

Unajua udom inachukua mwisho point ngapi?

Hivi umewahi hata kusoma tcu guidebook ukaona udom mwisho inachukua ngapi.

Unapata wap ujasiri wa kusema wanafunzi uwezo wao ni mdogo?

Njoo na facts acha mipasho.
 
Mimi nilisoma udom, hicho kitu sijawahi kukitana nacho hata siku moja. Sio wote wanao disco hawana uwezo, ila nina mashaka na uwezo wako. Na hapo udom pia Utadisco
 
Kwa great thinker yoyote atatilia mashaka hii hoja yako. Kwanza kwa kutumia hiyo id ya UDOM na ulichokiandika, nina mashaka na wewe. Inawezekana kabisa wewe ni mfanyakazi pale udom na kuna ugomvi ndani ya taasisi. Ukisoma thread kwa umakini utagundua wewe si mwanafunzi ila upo hapa kumchafua fulani kupitia hiyo taasisi. Ngoja niangalie umejiunga lini humu jf kuhakiki nikifikiriacho.
 
Hayo ni baadhi ya matokeo kama yanavyoonekana kuna walipass na waliofeli

Haya thibitisha kuwa wanafunzi hawafail na wanaongezewa max.
 

Attachments

  • 1403196849644.jpg
    89.5 KB · Views: 256
Mengine hayo
 

Attachments

  • 1403197018000.jpg
    81 KB · Views: 233

Dont i sound like a student? I am, but also independent intellectual, always thinking out of the box
 
Hayo ni baadhi ya matokeo kama yanavyoonekana kuna walipass na waliofeli

Haya thibitisha kuwa wanafunzi hawafail na wanaongezewa max.

Ngoja nilete ushahidi sasa wa walimu wanaofanya huu mchezo
 
Ngoja nilete ushahidi sasa wa walimu wanaofanya huu mchezo

Leta ushahidi hapa kama unaweza, wewe si mwanafunzi kuna mtu unataka umchafue, hiyo kitu udom hakuna,

Na ushahidi nimekuwekea hapo , ukifaulu umefaulu na ukifeli umefeli.
 

Kuhusu wakristo kupewa theatre wazitumie jioni na sikuza jumamosi na jumapili hiyo siyo hoja iliyopo mezani, hoja ni waisilamu kutumia madarasa mojakwa moja yaani siku za wiki hayo madarasa huwezi kusomea, kwa lugha nyingine wamegeuza madarasa kuwa msikiti. Hizo theatre wanazotumia wakristo wewe mwenyewe umesema ni jumamosi na jumapili mbona siku za wiki tunazitumia kusomea. Jikite kwenye hoja
 

Nimemuwekea na ushahidi wa picha hapo ikionesha matokeo
 

Mkuu unaijua misingi ya uislamu? Mm si muislam lakini wale iman yao hairuhusu nyumba ya ibada kufanyika kwa mambo mengine.

Turudi kwenye hoja umesema udom kuna uhaba wa madarasa naomba uthibitishe hilo.

Mim nimekupa mf wa lecture room moja ambayo haitumiki hata kidogo yenyeww huhifadhia media tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…