- Thread starter
- #81
Hivi wewe umesoma chuo gani waliokufundisha kuandika neno "mwajili", peleka ukilaza wako mbele na gentmn yako.
labda kasoma bachelor of science in applied physics? Wao wako busy na kudrive mafomula mambo ya punctuation si issue kwao!! Kuna jamaa yangu pcm yeye aliwahi kunichekesha alipo tunga mtihani ameandika kichwa cha habari ministry in educative and infrastructure! Staff nzima walicheka baada ya kubaini hilo, mkuu akasema muacheni hawa watu wana mambo mengi kichwani hajui hata wizara.