Udsm enzi zenu ziliisha isha Hacheni UDOM,iitwe Udom,kadri siku zinavyo pita hadi mtasahaurika,ila msijari.
<br />Duh!mngejua matatizo ya UDOM mngekaa kimya. Maprofesa hawatofautiani na wanafunzi wanalia shida tu
UDOM ni Chuo Kikubwa!Mnanikera mnapochanganya lugha.Chagua moja,ama kiingereza au kiswahili.Watanzania tunakuwa dhaifu ktk lugha kutokana na hilo ILA UDOM bado kabisa jamani.UDSM ni chuo bora si TZ tu bali Afrika mashariki na Afrika.Kama elimu ni majengo,basi Udom ni chuo bora!
<br />UDOM ni Chuo Kikubwa!
<br />pumba Tupu Udsm Ndo kinatoa walimu Udsm kinachukua cream of Nation Udsm wakigoma pesa wanapewa Udsm Kila mtu anajaza choice ya kwanza Udsm unamaliza umemit na maprof udom unafundishwa na madokta Bt kwa hekari udom wanatisha Ila wote Vilaza bora nileyesoma UK
<br />pumba Tupu Udsm Ndo kinatoa walimu Udsm kinachukua cream of Nation Udsm wakigoma pesa wanapewa Udsm Kila mtu anajaza choice ya kwanza Udsm unamaliza umemit na maprof udom unafundishwa na madokta Bt kwa hekari udom wanatisha Ila wote Vilaza bora nileyesoma UK
<br /><span style="font-family: comic sans ms">UDSM + UDOM = 0 <br />
<br />
tafuteni passport msafiche mbelembele huku ( mtoni) muone vyuo vya maana! ... <br />
</span>