UDOM vs UDSM

UDOM vs UDSM

Wote mnapiga kelele tu, mnapenda misifa isiyo paswa kutafutwa na wasomi wa daraja lenu. Mnajadili uzuru wa vyuo, historia ya chuo, location ya chuo au QUALITY ya ulichokipata baada ya kugraduate? Niulize leo hii vipi UDOM Kingekuwa kimejengwa maeneo yd Dar? Je shutuma zgekuwa nyng kiasi hk? UDOM wanagraduate wa pili mwk huu Ud karb ya 5o! Then unaliganisha kwa critera zp? Wewe uliyesoma UDOM ungekuwa umesomea Ud ungekvalue the same kama ufanyavyo sasa na vice vesa. M2 unaponda chuo flan hata kutia mguu hujawahi fika, hujui wanasomaje wala chochote hujui zaid ya kuona picha tu. Then umajigamba eti UD/UDOM Is better than other. Jiulize UZURI upi unaupima kabla hujahukumu.
 
i cant bileave kama msomi tena wa chuo kikuu anaweza kuandika ujinga kama huu...hivi wewe unaona ufahari kugoma eeeh ..huoni kuwa wenzako wa udsm wana akili za kufikiri na unafikiri wanakuwa wanagoma bila sababu.....wale wasomi wametulia kaka...kwanza PALE NDO CREAM YOTE YA MAZIWA IPO PALE na ndo mana hata wakigoma serikari fasta inafika ......pia nahisi wewe upo first year tena nawasiwasi na hata akili zako kama ziko timamu kabisaaaa ....au uliibia pepa ya form six...wenzako wanasikitika kurudi home kwasababu wanakosa masomo wewe unashangilia?????hivi baba yako na mama yako wakisoma hii maada uliyo iweka hapa unafikiri watafikiria nini.???kaka usituletee upuuzi hapa wa kijinga tena maada zisizo na kichwa wala miguuu
Na wewe ni grat thinker pia?? Nna mashaka hapo.
 
naona tunaishiwa mada sasa.... Total waste of time
 
Udom ovyo kabisa!Kozi ya miezi minne inafundishwa kwa wiki mbili!maajabu!hiyo ndio Udom.Chuo wanafundisha ma TA.Acha upuuzi huo.
 
Inavyoonekana huna akili timamu na pia wewe ni first year uliyeingia udom kwa MAGUMASHI.Unaijua vizuri UD?Usiwe na akili kama ya kenge,kukurupuka tu!
 
Huu mjadala ufungwe 2..udom ni chuo kizur lakn hakijawa bado na ubavu wa kupambana na udsm ktk maswala ya kitaaluma,udsm inapambanishwa na sua,nairobi,makerere nk.
 
Tunapotezeana muda na energy bure r we arguing based on facts au individual attitudes n fellings ndo zinatudrive kuandika tunachoandika,it doesnt matter kama unatoka udsm,udom, makerere etc ila wewe km wewe uko strong,confident na unaweza kudeliver output when needed to?jina la chuo c ishu jamani kuna jitu lina degree lakini mtu ana diploma anaonekana ana uwezo zaidi,lets thnk twice,wengine mnawakwaza kwa comment zenu jamani kila chuo kina mapungufu yake ila tusiyatumie kuwaponda wenzetu wanaotoka huko,its annoying
 
kwa kweli,udom ina kazi kubwa sana,tena kama ina admitt wa2 wa dizain yako,cjui ka 2tafka!mr ilonza,me nadhan we co mwanafunz wa chuo kikuu ila unaish 2 kwenye compound surrounding udom.


daaah hii inanikumbusha mlinzi mmoja katika shule fulani ya boardnig. mlinzi huyo alijitambulisha kijijini kwao kuwa yeye pale shuleni ni mwalimu wa physics!! siku jamaa wa kijijini kwao walikuja wakaulizia eti mwalimu....... anakaa wapi? daaah wanafunzi walicheka sana. sasa ndo hayo

angalizo; sio kila anayefanya kazi hospitalini ni daktari
 
Tunapotezeana muda na energy bure r we arguing based on facts au individual attitudes n fellings ndo zinatudrive kuandika tunachoandika,it doesnt matter kama unatoka udsm,udom, makerere etc ila wewe km wewe uko strong,confident na unaweza kudeliver output when needed to?jina la chuo c ishu jamani kuna jitu lina degree lakini mtu ana diploma anaonekana ana uwezo zaidi,lets thnk twice,wengine mnawakwaza kwa comment zenu jamani kila chuo kina mapungufu yake ila tusiyatumie kuwaponda wenzetu wanaotoka huko,its annoying
waambie udsm bana,wanafanya mambo ka watoto wadogo
 
Ishu sio chuo gani ila ni m2 wa aina gani na uwezo gani!vyuo siku hiz vipo ving Tz na vinatoa wa2 critical na competant wanaowazidi so acheni kujiona bora coz ur frm Udom,Udsm 2nakutana nao ktk interviews mbona 2nawagaragaza na 2mesoma vyuo vidogo vya private!
 
Ishu sio chuo gani ila ni m2 wa aina gani na uwezo gani!vyuo siku hiz vipo ving Tz na vinatoa wa2 critical na competant wanaowazidi so acheni kujiona bora coz ur frm Udom,Udsm 2nakutana nao ktk interviews mbona 2nawagaragaza na 2mesoma vyuo vidogo vya private!
Mkuu umeona ee,its high time UDSM should show respect 2 other institutions
 
Udsm enzi zenu ziliisha isha Hacheni UDOM,iitwe Udom,kadri siku zinavyo pita hadi mtasahaurika,ila msijari.
kama upo udom na huwezi kuandika-unaandika hivyo-je hao wenzako itakuwaje?poleni sana chuo cha kata
 
Hakuna mwenye ubora kutokana na chuo anachotoka jamani,lets agree jina la chuo kuwa kubwa au bora doesnt mean that all the graduates are perfect baadhi wapo au walikuwa weak na sisi tunawajua,lets be wise tusijadili mambo at the end of the day tukatukanana na kukwazana
 
waambie udsm bana,wanafanya mambo ka watoto wadogo
mr njoro,me nahc we una chuki binafc na udsm au walikupga disco...by the way ucfe moyo,hata huko uliko utatoka 2,maisha popote 2 co lazma udsm!
 
Bila kujali wewe umetoka chuo gani, umemaliza lini au utamaliza lini,sisi wote ni wajenzi wa taifa letu tunagombea tofali na boriti za kujengea nyumba yetu ili iweje?lets wake up tuachane na malumbano yasiyo na faida kwa ujenzi wa taifa letu
 
Udsm enzi zenu ziliisha isha Hacheni UDOM,iitwe Udom,kadri siku zinavyo pita hadi mtasahaurika,ila msijari.
wewe kijana wacha kabisa UD.!!ucfananishe na UDOM yenu,UDOM ni majengo tu hayo hata upanga yapo!!UD the home of intellectual bhana!
 
Mnanikera mnapochanganya lugha.Chagua moja,ama kiingereza au kiswahili.Watanzania tunakuwa dhaifu ktk lugha kutokana na hilo ILA UDOM bado kabisa jamani.UDSM ni chuo bora si TZ tu bali Afrika mashariki na Afrika.Kama elimu ni majengo,basi Udom ni chuo bora!
 
Back
Top Bottom