Acha utoto wewe! UDSM enzi zao ziliisha kivipi? unazungumzia nini hasa Academics au u-shalow wa chuo? au wewe ni miongoni mwa VILAZA waliotoka UDOM nini? Unapozungumzia University in Tanzania, first you will not hesitste to mention UDSM a.k.a UNIVERSITY OF TANZANIA, kama huji hilo angalia rank ya universities in Africa or World wide then utajua nini namaanisha!Acha kulisema jambo usilolijua, UDSM ni kitabu tu, migomo inafanyika kwa utaratibu maalumu na kwa TIJA ya Taifa sio kama huko UDOM n.kAcha uzushi dogo, usikurupuke, UDSM ndio Mama of Universities in Tanzania. ukichukia basi nakuletea kamba ya katani ukajinyonge faster! hahaha good day!