UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.

Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.

Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa.

Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.

Tabia hii ipo sana sanaaa

Source: Mange

Pia, soma=> Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) chamsimamisha Mhadhiri kwa tuhuma za ngono

Screenshots_2021-10-27-21-42-45.png


 
Sasa kama hao wanafunzi wanamtegatega mkufunzi kigwadugwadu atawaacha? Nani asiyejua chuoni kuna ushenzi mkubwa unafanyika? Labda wacha Mungu ndio wanaweza wasifanye ushenzi huo.

Ila asilimia kubwa ya wenye sura nzuri na maumbo ya kuvutia kingono ni wahanga wa vitendo hivyo
 
Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna.Ushahidi wa kila kitu hadharani.

Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.


Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya.Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake.Nimeumia sana sanaaa.Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi.MIMI NIMEMWACHIA MUNGU,ATANITENDEA.NA AMEANZA KUNITENDEA.

Tabia hii ipo sana sanaaa

Source: mange kimambi instergram, nenda kaangalie hadi video
Aisee..
Ni hatari kwa mustakabali wa elimu nchini
 
Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.

Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.

Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa. Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.

Tabia hii ipo sana sanaaa

Source: Mange

View attachment 1988796
Degree za Tanzania?
 
Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.

Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.

Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa. Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.

Tabia hii ipo sana sanaaa

Source: Mange

View attachment 1988796
Mkufunzi akiwa red handed katika maandalizi ya kula mchebwede!
 
Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.

Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.

Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa. Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.

Tabia hii ipo sana sanaaa

Source: Mange

View attachment 1988796
Za mwizi 39
 
Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.

Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.

Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa. Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.

Tabia hii ipo sana sanaaa

Source: Mange

View attachment 1988796
Mshana, ulisoma Udom?
 
Hawa wanachuo wakipata kazi maofisini ndio wanaoendeleza umalaya wao maofisini mwisho wanakuwa ma single mother, nani ataoa mwanamke muhuni? Kumbe uhuni wao wanauanzia chuoni wakiolewa hawatulii kwenye ndoa zao wanaachika kwa tabia hii isiyokubalika
 
Hakuna anae pewa sup ili aje afanye na mwalimu ngono. Suo unapata kwa uvivu wako wa kusoma. Kuchomoa ndo unaamua ukomae kusoma au utanue mapaja.

Nawajua wadada walio tongozwa na wakufunzi na wakawachomolea without problem. Ni ntu na uhuni wake.
 
Back
Top Bottom