CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Hapo kwenye vitisho ndo kayumbaalitoa na vitisho kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye vitisho ndo kayumbaalitoa na vitisho kibao
Nenda print yakoDegree is not a skill is just a Manila sheet nowadays.
Kama ni kweli, wasomi wa namna hii ni wa kufunga na kufungia wasijishughulishe na kutoa elimu. Huu ni ushahidi kuwa mkufunzi na mwanafunzi wote ni vilaza wanaopaswa kufungwa vilivyo ili liwe somo tosha kwa wengine. Msomi wa kweli hana haja ya kutaka favour toka kwa wanafunzi wake wala nao hawana haja ya kuwa favoured ili wapite.Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.
Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.
Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa.
Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.
Tabia hii ipo sana sanaaa
Source: Mange
View attachment 1988796
Alafu awe na churaAssignment hufanyi, test 1 na 2 jumla una 6, quiz hufanyi, lab report mbovu, CA ya 16, UE unapata 10,, matokeo yanaoka una supp, unanipigia simu nikusaidie na unajijua ni pisi kali,, pesa ya kunipa yenyewe huna,,, unategemea nn?? Nkuache?? Wewe kama nan?
Hataki kuliwa akeshe venue apate CA kubwa apasue UE basi,, sitakuwa na muda nae,Alafu awe na chura
Utamuachajeee
Ova
Mbona hujaweka sura halisi ya huyo mbaya wenu.Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.
Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.
Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa.
Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.
Tabia hii ipo sana sanaaa
Source: Mange
View attachment 1988796
Kweli kabisaHataki kuliwa akeshe venue apate CA kubwa apasue UE basi,, sitakuwa na muda nae,
hata kama ntakapenda basi ntakatongoza nje ya chuo kama watu wawili tofaut,, ulekcha na uanafunzi ni chuo,, nje ya hapo ni mtu na mpenziwe
Kuhusu kabila hilo halipo relevant na hii maada, haijalishi ni masai, mmakonde, mnyakyusa, n.k kwa huu uhuni wanaofanya inabidi waanze kutumikia vifungo vya miaka 30 jela.Inasikitisha.
Lazima atakuwa mpare huyo.