UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

Hawa ndio wanaosifika kwa kujitamba mbele ya wanafunzi wakiwaambia "tumebeba degree zenu", "ukiingia 18 zangu huchomoki", n.k

Wengine hutumia nguvu hii kubwa waliyonayo kutuliza tamaa zao za miili kwa kuwapiga pini kwenye mitihani mabinti, hapo akimfelisha mtihani...
Hiyo room ya nani? Lecturer amekwenda kulala kwa mwanafunzi wake? Kweli taaluma ya ualimu imevamiwa!!
 
Hama wanachuo wakipata kazi maofisini ndio wanaoendeleza umalaya wao maofisini mwisho wanakuwa ma single mother, nani ataoa mwanamke muhuni? Kumbe uhuni wao wanauanzia chuoni wakiolewa hawatulii kwenye ndoa zao wanaachika kwa tabia hii isiyokubalika
Acha kuwaumiza zaidi kuwakandamiza wanawake wengine hawapendi hayo mambo kama huyo mpaka kakubali kutumika yeye ili kumkamata huyo walimu inahitaji ujasili..
 
Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.

Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo...
Kama

ama hii video ina ukweli kwanini hamuweki jina?

Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.

Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo...
Kama hii video ina ukweli kwanini hamuweki maina ya wanaonekana kwa video? Ikiwa video ni ya Mwalimu na Bar maid kuna shida yoyote ya kisheria?
 
Hili suala la uhusiano wa lecturers na wanafunzi wao linatakiwa kuangaliwa vizuri. Linaweza leta utumwa wa kingoni.
Hivi tatizo ni kubwa kiasi hicho au vilaza wanalipigia filimbi ili ku justify ukilaza wao?
 
Ni kosa kisheria kwenda kumfumania mtu, Alafu hapo utajuaje je kama wameelewana?
 
Mkuu malecturer ya Udom mazuzu sana. Ungeweka picha yake huyo lecturer ionekane vzr maana haionekani fresh.

Hao wanafunzi waliomkamata nawapongeza sana. Wapewe degree ya heshima. Na iwe funzo, na waendelee kuwakamata hivohivo wasichoke kabisa.
Ndo wakaona pa kulipoti ni kwa Mange
 
Hivi kuna mahala hawa mabinti hawaliwi? Ni Mungu tu asaidie. Shida kubwa iko kwa watoto wetu, haya mengine ni matokeo tu. Hawa hawa ndio wanaolia na boda boda kwa mshahara wa lift yenye dhamani ya 1000.

Hapa hujasema habari za muuza chipsi na mishikaki. Tuna tatizo kubwa la kimaadili kwa sasa, ngono kwa watoto wa kike limekuwa jambo la kawaida sana kufanya.

Haya ya wahadhiri ni jambo ambalo limekuwa likisemwa mara kwa mara ila mara zote huishia kwa kutokupata ushahidi wenye rushwa ya ngono ama uonevevu kwa kigezo cha ngono.

Kama wapo wahadhiri wenye mahusiano na wanafunzi basi hufanya hivyo kwa hiari yao kabisa na sio kwa kulazimishwa.

Mbona unanishambulia sana kiongozi? Au na wewe una tabia hizo?

Asante kaka Mshana Jr na Extrovert kwa kuweka picha,mkiweza wekeni hadi video ile.
Serikali okoeni hawa mabinti.
 
Hakuna anae pewa sup ili aje afanye na mwalimu ngono. Suo unapata kwa uvivu wako wa kusoma. Kuchomoa ndo unaamua ukomae kusoma au utanue mapaja.

Nawajua wadada walio tongozwa na wakufunzi na wakawachomolea without problem. Ni ntu na uhuni wake.
Acha uwongoo wewe[emoji848]
 
Assignment hufanyi, test 1 na 2 jumla una 6, quiz hufanyi, lab report mbovu, CA ya 16, UE unapata 10,, matokeo yanaoka una supp, unanipigia simu nikusaidie na unajijua ni pisi kali,, pesa ya kunipa yenyewe huna,,, unategemea nn?? Nkuache?? Wewe kama nan?
Lazima umbeto sio?
 
Tatizo mnakurupuka kuhukumu, pengine wamekubaliana

Alafu ni kosa kisheria kufanya fumanizi
 
Back
Top Bottom