UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

Wengi waliotongozwa na lecturers nimeona hawana msimamo. Yani kamsimamo kadogo tu na kusoma kwa kawaida kunatosha kumfanya lecturer anywee. Pisi kali ndio zinazembea zikitarajia mserereko kwenye matokeo..
Wewe mkuu kuna lecturers ni ving'ang'anizi wa maku hujui tu...

Akikutaka ni full kukusumbua, na kukujazia maks za uwongoo ufeli, umtafute akwambie utopolo wake...

Tena usinikumbushe shida niliyopata chuo asee[emoji22]
 
Hao mabinti hakili hawana kuachiliwa wanahonga papuchi halafu hapo hapo wanatengeza mtego.

Sikufichi lecture Hana kosa mabinti huwa ni vilaza chuoni

Ni hatari, Nashukuru Mungu nimesoma chuo tena hapo Udom ila sikuwahi kua na mahusiano na mwanachuo, niliyokua najionea kwa hawa watoto wa kike ni ya kutisha.

Yaani kwanza kama unavyosema ni vilaza ile mbaya, hawasomi wanakula bata tu. Pili wao wenyewe ndiyo wanajisort kwenye mfumo wa kuliwa ili wasaidike, hawa wakirudi huku kitaa washakua used ile mbaya.

View attachment 1989246
 
kama sup ni below 50% na wewe marks zako zinachezeaga kwenye mstari hapo 51/50/55/49/ nk halafu ndio vile tena umeumbika unategemeaga huruma utoboe lazima uliwe tu..

jaribu kuwa unapataga 75/80/85/90/95/100 halafu huyo mkufunzi kama atakusumbua...
Dawa ya hao wakufunzi ni kusoma kwa bidii tu mwanzo mwisho na kupata mark za juu sana utakuwa safe..
Eti wanasema wanafelishwa makusudi..ili waliwe...tangu lini wanafunzi wa UDOM wakawa na akili..?sio walimu hadi wanafunzi wote vilaza tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wengi waliotongozwa na lecturers nimeona hawana msimamo. Yani kamsimamo kadogo tu na kusoma kwa kawaida kunatosha kumfanya lecturer anywee. Pisi kali ndio zinazembea zikitarajia mserereko kwenye matokeo...
Noma sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni hatari, Nashukuru Mungu nimesoma chuo tena hapo Udom ila sikuwahi kua na mahusiano na mwanachuo, niliyokua najionea kwa hawa watoto wa kike ni ya kutisha...
Asilimia zaidi ya 95 ya wanafunzi wa kike vyuoni wanaliwa na malekchara KWA KUPENDA WAO WENYEWE!

Ukiona imebumburuka kama hivi chunguza kwa makini utakuta kuna wivu wa mapenzi hapo, labda kuna mwanafunzi aliachwa akachukuliwa mwingine au kitu kinachofanana na hicho ndio wakapanga wamuumbue.
 
Asilimia zaidi ya 95 ya wanafunzi wa kike vyuoni wanaliwa na malekchara KWA KUPENDA WAO WENYEWE!

Ukiona imebumburuka kama hivi chunguza kwa makini utakuta kuna wivu wa mapenzi hapo, labda kuna mwanafunzi aliachwa akachukuliwa mwingine au kitu kinachofanana na hicho ndio wakapanga wamuumbue.
Hizi data umezitoa wapi kwa njia ipi?
 
Wewe mkuu kuna lecturers ni ving'ang'anizi wa maku hujui tu...
Kesi kama hizo na ulivyosema scenario zinakuwa hivyo hivyo ila dada akikomaa hasumbuliwi. Papers za test zinatunzwa, marks zikikosewa zinarekebishika, asipojaza anapewa evidence, hata apunguze vipi CA inafika. Sasa asipojiongeza akaona hapa moto mkali mbona kumzuia inawezekana haijalishi ni Prof au ni nani nani sijui.

Last year first semester kuna rafiki yangu girlfriend wake aliletewa kelele kama hizo akapunguziwa marks mbili za required CA wakati alikuwa amezidisha nne pamoja na figisu zote. Sasa kwenye kamati ya maamuzi magumu tulitumia siku chache kukusanya mafaili ya yule lecturer alafu tukamwandikia.

Ndugu yake, watoto wake wadogo wawili wa kike, mke wake, namba za gari, wapi anapenda kula bata na anakuakuaje, nyumba namba ngapi na mtaa, mauchafu yake, etc. Tulimwandikia conditions, wadada waliosumbuliwa marks tulijua watatu achana na waliokosa wenyewe.

Sisi tuliandika majina matatu tukataka marekebisho, hapa tulimficha mlengwa asijulikane nani. Consequences za kutofanya hivyo hatujapanga ni nini ila tukamwandikia "bajeti yetu ni 200,000 na inatosha sana kukufanya ujutie". Hizo marks ziliongezwa zaidi yake
 
Rushwa ya ngono vyuoni ifuatiliwe,mimi nitatoa kesi mbili zilizotokea SUA hivi karibuni.
1. Sua wana kitu kinaitwa SP,hapo unapewa supervisor akusimamie project,sasa hapa nimeshuhudia baadhi ya supervisor akimpa A mwanafunzi asiyesitahili kwa kuwa amemtisha kumpa C baada ya kukataa ila alipokubali akapata A yake sasa mwezi huu huyo mwanafunzi atahitimu na kuchukua degree yake na kwa kuongezea kozi zote za huyo mwalimu mwanafunzi ana A ila kozi zingine ana C tupu (chanzo chats za mwanafunzi na maneno yake).mwalimu huyo ni wa idara ya mazimbu kule wanapaita mazimbu,ukimuona huwezi amini ni yeye yule mzee.

2. Mwingine mwezi wa 9 alienda field assesment,ila ameshaona utamu kwa mmoja wa wanafunzi kutongoza akakataa,akatishia utafeli field,sasa mwanafunzi kuona anafeli field akaenda kujisalimisha kwa jamaa wakafanya yao basi assesment akapata A yake bila shida,chukulia mwalimu anaandaliwa kwa mazingira hayo.

Mengine yanatisha ila UDOM,UDSM ,SUA ni vyuo imara lakini ngono imejaa sana. Sua pale AEA kuna ngono sana hata waalimu wao ukiwaona tu unajua wapo kingonongono ila si wote,udsm coss,udom ni chss,yaani ni hatari.

wewe mzee wa hapo mazimbu acha hizo, una familia,una mke na watoto ona aibu. Wewe jamaa mwingine mwenye dini yake,una mke tayari tena wawili ila bado na yule unatamani.

Ngono vyuoni inaua elimu.
 
Ndiyo maana wanasema wanafunzi wengi wa kike wenye maks kubwa vyuoni hawanaga akili, wao kusoma hawataki ila wanataka mteremko tu wapasishwe na ndiyo maana wanavuliwa sana vyupi na kuchezewa kama mazozo, wakihitimu shule kichwani hawana kitu. Ni sawa tu na wanafunzi wa UDSM.
 
Back
Top Bottom