dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
wanafunzi wa kike waache tamaa, wataliwa sana kimasihara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mkuu kuna lecturers ni ving'ang'anizi wa maku hujui tu...Wengi waliotongozwa na lecturers nimeona hawana msimamo. Yani kamsimamo kadogo tu na kusoma kwa kawaida kunatosha kumfanya lecturer anywee. Pisi kali ndio zinazembea zikitarajia mserereko kwenye matokeo..
Hahaahaaaa...eti makao makuu ya vumbi[emoji1787]Hii imetokea lini hapa makao makuu ya vumbi?
Wazo sahihiWaweke team inayokaa at the end of the year ku verify results/grades. Hao malecturer wakiondolewa power au kwa kujua grading wanayotoa pia zinakuwa under scrutiny wataacha ufala
Hao mabinti hakili hawana kuachiliwa wanahonga papuchi halafu hapo hapo wanatengeza mtego.
Sikufichi lecture Hana kosa mabinti huwa ni vilaza chuoni
Hapo ni kabla au baada ya tukio?Hawa ndio wanaosifika kwa kujitamba mbele ya wanafunzi wakiwaambia "tumebeba degree zenu", "ukiingia 18 zangu huchomoki", n.k..
Wewe ni mwana SUA mwenzangu?.PALE SUA MAZIMBU KULE KWENYE MAKABURI YA MAKABURU KUNA JAMAA MALAYA SANA ILA ANAJIFANYA MTU WA DINI BALAA,NA SURUALI ZAKE FUPI,KIATU KIKUBWA KAMA NDOO 10L...
Eti wanasema wanafelishwa makusudi..ili waliwe...tangu lini wanafunzi wa UDOM wakawa na akili..?sio walimu hadi wanafunzi wote vilaza tu.kama sup ni below 50% na wewe marks zako zinachezeaga kwenye mstari hapo 51/50/55/49/ nk halafu ndio vile tena umeumbika unategemeaga huruma utoboe lazima uliwe tu..
jaribu kuwa unapataga 75/80/85/90/95/100 halafu huyo mkufunzi kama atakusumbua...
Dawa ya hao wakufunzi ni kusoma kwa bidii tu mwanzo mwisho na kupata mark za juu sana utakuwa safe..
Noma sana.Wengi waliotongozwa na lecturers nimeona hawana msimamo. Yani kamsimamo kadogo tu na kusoma kwa kawaida kunatosha kumfanya lecturer anywee. Pisi kali ndio zinazembea zikitarajia mserereko kwenye matokeo...
Asilimia zaidi ya 95 ya wanafunzi wa kike vyuoni wanaliwa na malekchara KWA KUPENDA WAO WENYEWE!Ni hatari, Nashukuru Mungu nimesoma chuo tena hapo Udom ila sikuwahi kua na mahusiano na mwanachuo, niliyokua najionea kwa hawa watoto wa kike ni ya kutisha...
Hiki kitakua ni chuo chao kingine na mkuu wa chuo ni MangeNdo wakaona pa kulipoti ni kwa Mange
Hizi data umezitoa wapi kwa njia ipi?Asilimia zaidi ya 95 ya wanafunzi wa kike vyuoni wanaliwa na malekchara KWA KUPENDA WAO WENYEWE!
Ukiona imebumburuka kama hivi chunguza kwa makini utakuta kuna wivu wa mapenzi hapo, labda kuna mwanafunzi aliachwa akachukuliwa mwingine au kitu kinachofanana na hicho ndio wakapanga wamuumbue.
Kesi kama hizo na ulivyosema scenario zinakuwa hivyo hivyo ila dada akikomaa hasumbuliwi. Papers za test zinatunzwa, marks zikikosewa zinarekebishika, asipojaza anapewa evidence, hata apunguze vipi CA inafika. Sasa asipojiongeza akaona hapa moto mkali mbona kumzuia inawezekana haijalishi ni Prof au ni nani nani sijui.Wewe mkuu kuna lecturers ni ving'ang'anizi wa maku hujui tu...
Ndio.Wewe ni mwana SUA mwenzangu?.