Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezo huu upo sana Local Goverment insitute Hombolo Dodoma. Vibinti vinamaliza form four vinakwenda three year pale ili vifaule kwenda Degree . Yanayofanyika Hombolo mungu ndiye anayejuaDegree za wanawake waliosoma bongo/east africa huwa nazitiliaga shaka san
Toka nasoma primary hadi university sijawahi ona/sikia msichana mwenye uwezo darasani akilalmika kusumbuliwa na mwalimu. Ila wale vilaza sasa!!! Mara mwl ananitaka mara nimetongozwa na yule kwanini nyie tu?Kesi kama hizo na ulivyosema scenario zinakuwa hivyo hivyo ila dada akikomaa hasumbuliwi. Papers za test zinatunzwa, marks zikikosewa zinarekebishika, asipojaza anapewa evidence...
Shida hata kuripoti kwenye mamlaka husika hamjui. Mwisho inakua kama majungu hiviMchezo huu upo sana Local Goverment insitute Hombolo Dodoma. Vibinti vinamaliza form four vinakwenda three year pale ili vifaule kwenda Degree . Yanayofanyika Hombolo mungu ndiye anayejua
Unamuuliza nani sasa we Mgogo??Toka nasoma primary hadi university sijawahi ona/sikia msichana mwenye uwezo darasani akilalmika kusumbuliwa na mwalimu. Ila wale vilaza sasa!!! Mara mwl ananitaka mara nimetongozwa na yule kwanini nyie tu???
😂kwani hujui vilaza ndio wazuri,na walimu wanaona hiloToka nasoma primary hadi university sijawahi ona/sikia msichana mwenye uwezo darasani akilalmika kusumbuliwa na mwalimu. Ila wale vilaza sasa!!! Mara mwl ananitaka mara nimetongozwa na yule kwanini nyie tu???
Hyo sio excuse ya kumlala mtu, na hii rushwa inakuwepo vile wahadhiri Wana power ya kukufelisha au kukufaulisha na watu hufanya assignment zote ila vile mfumo dume wanaume hulindana na ku disco wanafunzi.Assignment hufanyi, test 1 na 2 jumla una 6, quiz hufanyi, lab report mbovu, CA ya 16, UE unapata 10,, matokeo yanaoka una supp, unanipigia simu nikusaidie na unajijua ni pisi kali,, pesa ya kunipa yenyewe huna,,, unategemea nn?? Nkuache?? Wewe kama nan?
Aiseee🙌🙌🙌🙌🙌😂kwani hujui vilaza ndio wazuri,na walimu wanaona hilo
WatongozwajiUnamuuliza nani sasa we Mgogo??
ukimegewa dem wako naww tafuta mnyonge ummegee, hat ukiumia haisaidii kilatu anamegewa hata matajiri wanamegewaWanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.
Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.
Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa.
Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.
Tabia hii ipo sana sanaaa
Source: Mange
View attachment 1988796
View attachment 1989174
David Mwakapala na Sifuni Mchome nao wameacha kuwatia madem pale department of accounting?Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.
Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.
Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa.
Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.
Tabia hii ipo sana sanaaa
Source: Mange
View attachment 1988796
View attachment 1989174
Sanaaaa tunajaziwa viazi tu humu makazini.........kiuhalisia mademu vichwa hawavuki asilimia moja ya population yote.Degree za wanawake waliosoma bongo/east africa huwa nazitiliaga shaka sana
Mbona college ya health science ndio tumatumia hiyo coursework ya 25Kama udom wana under 16 wanatakiwa waongeze iwe 25. Tukiwa kikazi pale Dodoma vijana wanazurula sana.
yaani wakiingia kwenye ajira ni vimeo mpaka unashindwa kuelewa amepataje degree....Degree za wanawake waliosoma bongo/east africa huwa nazitiliaga shaka sana
Safi kabisa na mange ameruka nayo hii issue safi sanaWanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.
Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.
Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa.
Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.
Tabia hii ipo sana sanaaa
Source: Mange
View attachment 1988796
View attachment 1989174