Enzi zetu coet kuna mwamba alikua anaitwa nyahoro...huyo anaingia na camera kwenye test ili kama unapiga chabo apate ushahid[emoji16]Naona wanafunzi wa jalalani wamefeli!
Sasa hiyo ni account sijui kule COeT hali ikoje!
Tatizo wengi wanakaa JF na Twitter kumnanga JPM wanasahau kusoma. Je, UDSM wafanye nini kutwa kucha upo hapa unahangaika na watu kama Nyankurungu2020 ambao wanalipwa na chadema kufanya kazi hiyo. Akitoka hapa anatafuta K ya dezo; unafikiri kitabu ni mchezo?Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20.inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Vyuo vya Tz vyote vya hovyo kama una pesa mpeleke mtoto wako nje akasome,ndio maana wanafunzi wa Mzumbe walikuwa wanakata sana KIUKawaida sana njoo mzumbe utajikuta ujui
Anataka marks za bure kisa tu alipata div I form 6Upo mbioni kusupp,
Tafuta marafiki serious muanze misuli mizito
COSS kule kuna wale malecturer wazee ambao mpaka leo wanatumia notes za 2010.Wabishi hao.wanasoma vitabu vile ambavyo vimeshageuka rangi ya karatasi kama vililowa mvua vika kaushwa kwenye moto.Tena bora huko Udbs hata below 16 ya CW unaweza kufanya UE hata kwa marks hizo hapo mshikemshike upo COSS ndiyo utaona balaa una carry hivihivi course usipopata huruma ya mwl
Coss kuna shida hassaaaa..COSS kule kuna wale malecturer wazee ambao mpaka leo wanatumia notes za 2010.Wabishi hao.wanasoma vitabu vile ambavyo vimeshageuka rangi ya karatasi kama vililowa mvua vika kaushwa kwenye moto.
wabishi hao
Tatizo madogo wamekaririshwa chuo bata, wakifika chuo badala ya kuongeza spid, wanapunguza usiriaz na spid ya kusoma.Haya ni matokeo ya coursework ya somo la advanced financial accounting. Mtu anapata Mark's 1 kweli kwenye test yenye Mark's 20. Inawezekanaje hiyo na wakati chuo kinachukua cream tupu?
Vyuoni ni kawaida iyo sio UDSm peke ake mkuu anaposema sema ivo mtoa uzi kwamba hicho chuo watu hawafeli ama??... tupe uzoefu wa vyuo vingine - UDOM, MU, AU, IFM, etc. Mark 1 sio kawaida?
OkWanachuo wacheni pombe na ngono
Pigini shule
Ndo maana wanasingizia maprof eti wanawataka kingono, kumbe empty set kichwaniHa ha ha..udsm bana.nimepamiss ghafla.
Achaa ni hatariKawaida sana njoo mzumbe utajikuta ujui
Sijui mkuu vyuo vingine ipo test 1 marks 20 test 2 marks 20....Hivi udsm huwa kuna cha test two kweli?