Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,199
Ukipita mtaani utawakuta wanavyopiga kelele ooh, performance kwenye sayansi imeshuka, sasa hata iwe kubwa, na serikali yenyewe wala haina mpango nayo unafikiri itasaidia? Ndo maana wazazi wengi sasa hivi wamegeuka, wanawaambia watoto wao wasome arts waachane na upumbafu wa sayansi ya tanzania, ambayo haina dira wala mwelekeo.
Ila wakati nampigia kura JK sikufikiria kabisa kama atakuwa mzigo namna hii kwa taifa letu. Ameniboa to the max. Kama hatakuwepo mpinzani mwenye sifa ya kumpigia kura, nafikiri bora tu mwakani nisipige kura, kuliko kuchezea tena kura yangu kwa JK. Anatukatisha tamaa kupita kawaida.
Ila wakati nampigia kura JK sikufikiria kabisa kama atakuwa mzigo namna hii kwa taifa letu. Ameniboa to the max. Kama hatakuwepo mpinzani mwenye sifa ya kumpigia kura, nafikiri bora tu mwakani nisipige kura, kuliko kuchezea tena kura yangu kwa JK. Anatukatisha tamaa kupita kawaida.