Kiongozi,
Suala la sustainability ya mipango yetu ni tatizo sana sana. Nakumbuka kuna thread ya Bw. Zitto kumfagilia Chenge kwamba aliidhinisha funds kwa ajili ya barabara za huko Kigoma, nilijaribu kukataa hili suala la ujenzi wa miundombinu kwenda staili ya kisiasa, kiajaliajali na njia ya ku-lobby badala ya kuwa na roadmap ya kitaalamu hata kama kuna ukosefu wa fedha. Wengi walipinga hoja yangu na najua wataendelea kupinga hili lakini its is fair kusema hatuwezi kuendelea kwa staili hii. This method will never do the trick.
Binafsi nakataa kuwa nchi yetu ni maskini. Wengi wa watu wetu ni kweli wana kipato kidogo lakini si mafukara. Hata ukipita huko na huko majiani, barabara kuu na mitaani unakuta vijana na akina mama wakiwa na bidhaa mikononi n.k. wakitafuta wateja. Wakulima wadogo pamoja na serikali kutokuwa na mipango ya maana bado wanacho cha kuonesha..achilia mbali watu wengine ktk kada mbalimbali za maisha.etc
So it is not like watu wetu hawana kitu kabisa au hawana spirit ya kufanya kazi na kujiletea maendeleo yao.
Nadhani taifa linahitaji mass modernization. Modernization ambayo ni sustainable kama ulivyosema, kwenye shughuli zao za kujiongezea kipato na hata maisha yao binafsi, nia ni kuongeza uzalishaji na kila mtu kufikia surplus. Ikifikia hatua ya watu wa kipato cha kati na kipato cha chini kutengeneza surplus, in 1 and a half to 2 decades taifa litafikia level za nchi kama Malaysia.
Sasa kazi ya kuweka misingi na ku-spark modernization ni lazima tuwe na know-how na kuwapa watu wetu, nayo hakuna njia ya mkato kuipata hiyo knowledge. Taasisi za kutoa hiyo knowledge lazima ziwe sustained na kuchekiwa relevance ya products wanazotoa etc etc..right now it is sad, I don't see the roadmap, and I am sure the way things are we have failed before, we are failing now and we will continue to fail ad infinitum.