UDSM-College of Engineering inaomba msaada

UDSM-College of Engineering inaomba msaada

Haya ni matokeo ya kile tulicho Panda wengine wanazidi kusonga mbele sisi tunarudi nyuma,
Na hii Govn ya JK inatuandaa kuwa watumwa wa EAC kama hamuamini ngoja mtaniambia.
Watoto wetu wameeandaliwa kuwa watu kuanzia Darasa la kwanza mpaka chuo,
Mfano kama elimu sasa hivi ya shule ya msingi,Zama kuwa mwalimu ilikuwa ni kujitolea kutokana na uchumi wa Nchi kweli kulikuwa hakuna mtu anachukuwa mshahara mkubwa sasa leo hii Serikali moja watu wamoja mmoja anapokea shilingi 180,000 alafu wakati huo huo mtu mwingine anapokea 3,500,000 na wote hawa wanatumikia jamii.

Hata sikumoja hata ungekuwa wewe mwalimu usingefanya kwa moyo, maana hiyo kazi utakuwa hauipendi sababu haikusaidii kiivyo ndo maana watoto wetu wanalishwa sumu huko mashuleni kwasababu walimu wamekuwa wakipewa fedha ndogo,

Haya serikali hiyo hiyo inachukua Pesa zao (DESI) kama haujui waanga wakubwa ni Walimu wa shule za msingi wengi wamekufa kwa BP hii serikali imekaa kimya badala ya kurudisha pesa za watu na kama inazifanyia biashara ili zilete faida wagawiwe wote basi serikali iwatangazie na sio kukaa kimya sio picha nzuri ,

walimu wataiukumu sikumoja maana inatia uchungu kwa mwalimu wa shule ya msingi kuweka laki 8 desi hiyo unaweza kukuta ndio pato lake la miaka 4 sasa ukichukuwa unakuwa umemfanyisha kazi miaka 4 bila malipo yoyote.

Je! kweli waanga wa DESI wasipolipwa pesa zao na wanajuafika kuwa govt ndio inazishikilia kweli wataichagua tena hiyo govt.

Hatuko serious kuhusu elimu maana Waliweka mada kuwa tunaongoza kwa Uzalendo, inaweza kuwa sio uzalendo ni ujinga
 
Safari zipi zilizoifanya FoE na sasa CoET idumae kwa miongo karibu minne tangu ianzishwe. Tusitafute majibu mepesi kwa maswali magumu. Hii ni issue siyo kwa serikali tu, hata kwa hivi vyuo vyenyewe. Kama tukiwategemea wanasiasa ndiyo watufanyie kila kitu, nakuhakikishia hatutafika popote. Ni lazima tufike mahali tuonyeshe kwamba bila wao tunaweza kujisimamia wenyewe ... na ninalazimika kuamini kwamba FoE (CoET) walizembea sana kuliona hili likitokea kwa sababu ya kutegemea misaada ya wafadhili kama Ujerumani, Sweden, Denmark, n.k. na hawakuwa na agenda ya je, hawa wafadhili wakisitisha huduma zao itakuwaje?

Ni lini serikali ilizuia vyuo kuwa na miradi ya kujiendesha kama siyo kukosa maarifa kwa waliopewa dhamana ya kusimamia na kuviongoza vyuo hivyo?

Wakati umefika sasa wa kubadilika kifikra ... tusiweke siasa katika kila kitu. Hizi siasa ndizo zinadumaza akili zetu. Kama tumelogwa vile!!
Was it technically or politically because what I know is that in the past such a move as doing business at the college was almost impossible. Hata hivyo old thinking is still very alive among the Dons at college. Kuna watu pale wanachofikiri sio applicable in 21st century.
Kwakuwa kile ni chuo cha serikali tunategemea nani atafanya hizo changes? Lazima ziwe na baraka ya serikali. Kwabahati mbaya naona serikali hailioni hilo.Wako busy na kujisifia na idadi inayoongezeka ya wanafunzi
 
Was it technically or politically because what I know is that in the past such a move as doing business at the college was almost impossible. Hata hivyo old thinking is still very alive among the Dons at college. Kuna watu pale wanachofikiri sio applicable in 21st century.
Kwakuwa kile ni chuo cha serikali tunategemea nani atafanya hizo changes? Lazima ziwe na baraka ya serikali. Kwabahati mbaya naona serikali hailioni hilo.Wako busy na kujisifia na idadi inayoongezeka ya wanafunzi


And this is wht irritates me the most! to them is just the numbers...................
 
Shame upon us,How come chuo kiombe msaada kwa jinsi hii? jamani tutafika kweli?Wakati huohuo mnasisitiza watu wasome sayansi ili wawe mainjinia ,wataenda kusomea wapi?

Mwanangu ndo mana tunaomba mchango wako...Bila Coet Baba`ko Ningekua wapi? So zichange bana, hata Mjukuu wetu atapopasua akapige Telecom Pale kama Babu yake...
 
Mwanangu ndo mana tunaomba mchango wako...Bila Coet Baba`ko Ningekua wapi? So zichange bana, hata Mjukuu wetu atapopasua akapige Telecom Pale kama Babu yake...

Hivi mfano hii fundraising ikashindwa kufika malengo wht will happen? Ina maana ndio tutaacha COET ife?
 
Hivi mfano hii fundraising ikashindwa kufika malengo wht will happen? Ina maana ndio tutaacha COET ife?

Haitaishia hapo nyambala, tutatafuta means nyingine mfano...pale esce(facult inayoinvovle comp eng, telecom na electrical) wachina walidhamini matengenezo pia kule kijitonyama pale chuo cha ttcl wachina wamedhamini ujenzi wa lab kali kinoma...very classic.

so mungu atawainua wengine tu usiogope mzee!
 
Mwanangu ndo mana tunaomba mchango wako...Bila Coet Baba`ko Ningekua wapi? So zichange bana, hata Mjukuu wetu atapopasua akapige Telecom Pale kama Babu yake...
To be honest,this is totally failure nawaambia,watakaochangia ni wachache sana na haitafikia malengo yaliyowekwa sababu imekaa kisiasa sana.Labda strategy ibadilishwe.
 
Some propositions to make the contributions more effective, easy and fast:-


1. Adopt money transfer schemes currently available in country such as MPESA & ZAP. This will ease contribution process for well wishers as they can transfer funds to your account at their convenience times using their mobile phones only.
2. Consider adopting "short-code" schemes by entering agreements with telco operators so that well wishers can write certain key words as sms to a short-code number and be deducted certain pre determined amounts (to be well communicated categorically) as their contributions to CoET cause. This means has been adopted even by some sports clubs such as Simba and Yanga and I believe they have proved to be very effective means for fund raising.


Relying on Bank account only will be an inconvenience to many and may hinder success of the process.


As alumni of the UDSM and FoE, and mostly as a Tanzanian, I surely will be proud to participate in the fund raising process.


http://groups.google.com/group/wanabidii/browse_thread/thread/275c1e15a6ca921c?hl=sw
 
ukweli mwingine ni baada ya Pilitical engineer kupewa chuo ameharibu kabisa, anataka kifike wapi haijulikani, walimu wanakikimbia chuo kila kukicha,nachojua ni kuwa vyuo vikuu kwa taaluma yake tu inatosha kujiendesha na ziada juu! why consulttancy companies zipo na zinamake alot? Jmbao jingine kubwa na baya kabisa hapa ni kuwa wale Lectures etc walipata hiyo nafasi baada ya kpata either 1st class or above 4.0GPA, wakaunganisha masters,then PHD then wamerudi kufundisha hadi leo, hawana uzoefu wowotw, kwa ufupi wao ni wanafunzi/wakusoma miaka yote, so ubunifu zero,experince ya kumake hela kwa taasisi zero!! wachanganye watu tofauti pale kutokana na utaalamu wao, leo nenda may be TRA, Mbeya Cement, VOda chukua wazoefu wawe wanamawazo chuoni wafundishe, watoe mawazo ya uwekezaji practical si wa makaratasi,otherwisw hamna kitu!!
 
Nilipata bahati ya kupita pale UDSM mwishoni mwa November 2009, kwa kweli nilisikitishwa sana na uchakavu wa infrastructure. Kuanzia Lecture rooms, Library, Administartion block na hata Halls ni choka mbaya. Mkakati mkubwa zaidi unahitajika kuliko huu. Kwa kweli enzi zetu pale FOE mambo yalikuwa poa sana hasa kwa msaada wa Germany . Ukiwa Fresher tu FoE unadakishwa "Drawing Board ya Nguvu na Scientific Calculator: fx 991 au 992".


Fundraising inaonyesha kuwa watu wanapaswa kuchangia kwa mwaka. Lakini ingependeza zaidi kama Prof. Katima angeambatanisha na Plans pengine na estimates za vitu ambavyo wanatarajia kufanya.Hii itawapa fursa wachangiaji kujua kiasi gani kimekusanywa year X,Y.. na kitu gani kimefanyika katika miaka hiyo.

Kuchangia ni muhimu sana hasa kwa sisi ma- Ex-Foe/COET, lakini michango hiyo italindwaje ili isifisadiwe?
 
Kwani JK anahitaji kutukanwa basi? Mbona anajitukanisha mwenyewe kila kukicha KWA VITENDO!
 
Wakuu,

Kimsingi Mpango wa CoET si mbaya. Taarifa nilizonazo ni kuwa mpaka sasa wamekusanya zaidi ya shilingi milioni 200. Pamoja na kwamba fedha hizi ni kidogo sana lakini wanastahili pongezi ukitilia maanani serikali imewasahau.

Kama nchi tuna wajibu wa kwenda mbali zaidi na kuwa na mipango mizuri na tutakayoitekeleza kwa dhati. Badala ya kuwapa maeneo ya madini yetu hao wanaoitwa wawekezaji kuna haja ya kubadili utaratibu na badala yake maeneo hayo tuvimilikishe vyuo vyetu vya elimu ya juu ili wao ndiyo wafanye hiyo kazi ya kuchimba madini kwani hawana uhaba wa wataalam. Naamini CoET wanaweza kuonyesha njia katika hili.
 
Mugo"The Great";696633 said:
Fundraising inaonyesha kuwa watu wanapaswa kuchangia kwa mwaka. Lakini ingependeza zaidi kama Prof. Katima angeambatanisha na Plans pengine na estimates za vitu ambavyo wanatarajia kufanya.Hii itawapa fursa wachangiaji kujua kiasi gani kimekusanywa year X,Y.. na kitu gani kimefanyika katika miaka hiyo.

Kuchangia ni muhimu sana hasa kwa sisi ma- Ex-Foe/COET, lakini michango hiyo italindwaje ili isifisadiwe?[/QUOTE]
Ndio hapa kwenye tatizo watu wengi wanaogopa kuchanga.Labda wazibane kampuni za kihandisi zichangie
 
Message niliyopewa zamani zile ni kuwa kusoma engineering ni kukosea njia
 
Message niliyopewa zamani zile ni kuwa kusoma engineering ni kukosea njia

Fani yoyote inategemea na mhusika anajipangaje. Siyo uhandisi tu bali fani zote zinahitaji mtu kujituma, kuwa aggressive, kujiendeleza kila wakati, manake technolojia inakuwa kila siku na zaidi ni confidence. Hakuna mtu anayeweza kusema kuwa ukiwa kwenye fani nyingine mambo yako yanakuwa Super.

Unajua ni rahisi sana kwa Engineer kuwa mjasiriamali kama akiamua bila kujali yupo mjini au kijijini. Issue kubwa ni Innovativeness
 
Wakuu heshima mbele, Kama alivyosema Mugo, ni kweli kabisa hali COET kwa sasa ukienda ni mbaya, majengo yameharibika, yaani mvua ikinyesha ni kuvuja ile mbaya, infrastructute zimekwisha kabisa. Mwenye uwezo au mwenye chochote na yuko willing kuchangia please asadie chochote.
 
And this is wht irritates me the most! to them is just the numbers...................
Nyie hamshangai nusu nzima ya watoto waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka huu wamefeli? There is a serious problem in education hapa Tanzania, na something has to be done. Mimi i am shocked, lakii nadhani ndio matunda ya kuwa na viongozi wasio na elimu za maana.
 
whilst i am not against this idea or prof katima whatsoever (soma hapo chini). As an alumni at this very institution i am inclined to believe kwamba siasa inaua hiki chuo especially the college of engineering (formally known as faculty of engineering (foe) ).

i am not a fan of "let the govt do everything" but hiki ni chuo cha hiyo govt.



govt hiyohiyo ambayo iko bize kuhakikisha udom inakamilika na kuwa kete yah uchaguzi mwakani, si mnajua 2010 is just tommor.





1. Hivi hizi negligence tutaacha lini? jk aka vasco dagama hawezi kuspare just two abroad trips na hela hiyo ikatumika kwenye ukarabati wa chuo chetu?

2. Hela za epa? What if tukachukua 10% pale?

this negligence of our govt is absolutely bullshit, ni lini tutaipa elimu priority stahili? Ni lini tutaacha kuingiza siasa hata kwenye mambo ya msingi?

it can easily be seen kwamba the whole leadership in tz ipo kwenye homa ya uchaguzi which is one yr away? Who will therefore come to the rescue of this issue?

to be frank hii ni aibu kwa serikali na watanzania kwa ujumla period.

halafu bado kuna mijitu inatoka kifua mbele ooh serikali imefanya mambo makubwa!!!!!!!!!, jk anatisha, ohh jk anaonewa wivu, lets stop politics and do something!

haiwezekani tukawa bize kujenga udom wakati tukiacha one of the then finest engineering institution ikijifia kama haina mwenyewe.

congratulations prof katima for this idea but we have to put the govt to task!

note: Attachement imembatanishwa fo the original doc.



university of dar es salaam
college of engineering and technology
office of the principal
p.o. Box 35131 - dar es salaam – tanzania


tel.: +255 22 2410753 (direct) or 4210501-9/ext.2800 e-mail: principalcoet@udsm.ac.tz
fax: +255 22 2410114 or 2410411 or 2410029 website: www.coet.ac.tz
our ref.: coet/001/jhyk/ank november 22, 2009
fellow engineers
dear sir/madam,
re: Launching of coet rehabilitation and maintenance fund
the engineering education and training in tanzania started in 1973 when the then faculty of engineering (foe) was established at the university of dar es salaam (udsm). In 1979 the university established the institute of production innovation (ipi) to serve as a link between the faculty of engineering (foe) of the university of dar es salaam (udsm) and the tanzanian industry in order to foster mutual utilization of knowledge and facilities. In 2001 foe and ipi were merged into a college of engineering and technology (coet).

after over three decades of use, the infrastructure and machinery have run down and require a huge rehabilitation and replacement. The college development partners who injected huge sums to develop the superstructure, understandably, are not willing to fund rehabilitation and maintenance of the same. This task is supposed to be done by the government. While we acknowledge the huge budget for personnel emoluments, over the years, the university has been receiving less and less moneys for capital investment and other charges; despite increasing numbers of staff, students and programmes. As a result, the area which has suffered most is infrastructure maintenance. As elaborated in the attached brochure, the infrastructure is in bad state, and we can not let it continue to deteriorate, because this will have far reaching adverse effects to the quality of engineering education we
are offering. In the bid to reverse this trend we are launching a “coet
rehabilitation and maintenance fund”.

being one of key stakeholders to our college, we are appealing for your contribution to this fund. In the table below we have indicated some figures which we consider to be modest, because we would like as many people as possible to be able to contribute. However, we appeal to those who have been touched by this noble cause to contribute more.

s/n entity
minimum amount
requested
(t.shs.)

1. Coet senior staff 30,000/= per year
2. Coet junior staff 20,000/= per year
3. Coet (foe) alumni 30,000/= per year
4. Engineers 30,000/= per year
3. Other well-wishers 20,000/= per year
4. Engineering firms 500,000/= per year
5. research projects in coet funded locally 200,000/= per year
5. research projects in coet funded by development partners 1,000,000/= per year
6. Non-engineering firms 100,000/= per year

you may wish to pay by cash or cheque if you are within the neighborhood, coet’s main administration building - accounts office, room no. 20; or directly into our bank account, details are as shown below:

account name: faculty of engineering rehabilitation
account number: 2081100012
bank name: nmb - udsm branch

thanking you most sincerely for your continued cooperation and support.

prof. J.h.y. Katima
principal


serikari imesahau msemo wa kiswahili,kuwa ''usiache mbachao.......

Udsm kwa ujumla imesahaulika,nguvu zote dom,tutajutia sera hizi,hazina tija kabisa.
 
Back
Top Bottom