Umhhhh...
Na ashukuriwe D kwa kuuleta ufufuo wa K..Ngoja nifah aje
Alipambanishwa na nani mpaka akashinda??
Kijana naona anabeba tuzo zenye heshima kubwa kubwa tu!
He inspires me kwa kweli.
Na mengi nae kapewa kwa kuoa mjukuu wake? Siku hizi ukiwa na hela tu unajiandalia tuzo vyuo vyenyewe siku hizi vimejaa wasanii tu.
Na mengi nae kapewa kwa kuoa mjukuu wake? Siku hizi ukiwa na hela tu unajiandalia tuzo vyuo vyenyewe siku hizi vimejaa wasanii tu.
Hiki chuo cha UDSM sijui kimeanza kuingiwa na pepo gani!
Alafu hizo tuzo mbona hawakutangaza tupige kura? Hizi tuzo hazina tofauti na tuzo za Hbaba.
Nani kakwambia hawajapiga kura? waliopiga kura ni madokta na maprof
⚫Tayari ni ICON wa taifa
⚫Kila mtu amekuwa inspired na diamond, wote wasanii na mashabiki wa muziki kwa ujumla, na tunaona wasanii wanazidi kujiongeza kisanii na kibiashara pia
(Baadhi ya mifano hai Christian bela the king of the best melodies amekiri hapa juzi hakuna mwanamuziki Tanzania hii asiyependa kufika alipo diamond platnumz,, Tunaona kipaji kinachokuja kwa kasi baraka da prince, ambaye amekiri kupata ushirikiano kutoka kwa wazazi wake hasa baba baada ya kuona mafanikio ya diamond)
⚫Tumepiga kura na Wasomi (kutoka chuo bora zaidi Afrika mashariki kwa sasa) wameona Hakuna ubishi hata chembe kwamba DIAMOND ni most inspiring MUSIC ICON