UDSM: Diamond Platnumz is The Most Inspiring as a Music Icon

Hongera sana sana Chibu,,

Kaza buti kijana wetu safari bado ndefu sana,tunao kubali kazi zako tu pamoja nawe.
 
Hii nchi watu wanajiundia tuzo kila siku
 
Mkuu big up sana ,huu ushauri hata kiba unamhusu.

Wengi wa mashabiki wa Kiba wanamshangilia Kiba kwa sababu wanamchukia Diamond,Lakini ukweli ni kwamba hawamsaidii wanazidi kumdumaza.

Hongera Diamond na Team yake ,aliimba Inspekta Harun "Umaarufu hauji bure bwana bila kuwa bize"
 
Commander matumbo nimependa analysis yako, kwakweli umejenga facts zenye nguvu sana, nashukuru kwa hilo.

Ila bado kilio changu kipo palepale ni kwanini hizi tuzo hazikutangazwa na sisi tu pigie KingKiba, anyway stay blessed for your wisely facts.

Tunzo za heshima hizo, we piga kura kwenye KTMA sio kila kitu ni level yenu.
 
Last edited by a moderator:
Honestly, sijawahi penda nyimbo za huyu, ila nasema toka moyoni napenda mafanikio yake na jinsi anavyo hustle,. HUSTLE…! HUSTLE …! HARD, Kweli hard work pays.
Niseme hivi sinaga kupenda sana hizi team na hizi nyimbo nyimbo za bongofleva ila kijana anapiga kazi fresh anapeperush bendera fresh, hasa tunatakiwa tuwandae watu kama hawa wawe atleast 5, patakuwa onfire nchini hapa.

So kiba mwisho primary na seco, vyuon kila mtu Dai………! ( jus a joke team zote usichukulie silias msemo, usitokwe povu, sikubali timu zote, ila wakina fulani kazeni buti aisee)
 

hahahaha umemalizia vizuri mnooooo
 
Hiki chuo cha UDSM sijui kimeanza kuingiwa na pepo gani!

Alafu hizo tuzo mbona hawakutangaza tupige kura? Hizi tuzo hazina tofauti na tuzo za Hbaba.

Ulitak achukue kiba nn...
 
Hahaaaa bayaa bana mzee wa ligi daraja la kwanza...anashindana na akin blue si ndioo
 
Hiki chuo cha UDSM sijui kimeanza kuingiwa na pepo gani!

Alafu hizo tuzo mbona hawakutangaza tupige kura? Hizi tuzo hazina tofauti na tuzo za Hbaba.

Ushaambiwa tuzo ya UDSM, wewe ulifikiri wanafunzi wa UDSM ndo wamepiga kura? Wewe ulitaka kupiga kura kama nani labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…