Vyuo vyote nilivyopita mimi, teaching inachangia kati ya asilimia 15-25 kwenye packet yako ya tenure/promotion. Kama UDSM hawafanyi hivyo ni makosa kwa sababu kufundisha ni mojawapo ya jukumu la msingi sana kwa mwalimu wa chuo.Kufundisha sio lazima
Bro nimesoma Pale. Ni chuo change hadhi yake na kikubwa lakini sio Faculties zote academically ni bora kuliko vyuo vingine.Acha kufananisha udsm na mambo ya kijinga.
Kilaza aliwezaje kuwa waziri for four consecutive terms mpaka akapitishwa kugombea Urais. Hakuna kitu kibaya kama wivu na anaingia katika top 5 ya mawaziri Bora tokea nchi ipate uhuru Kwa kuwa waziri mchapakaziMagyfuri naturally hakuwa kilaza..
PhD sio kwa walimu wa vyuo tu. Kuna wasomi wana accomplishments nyingi kwenye industry na kwenye technical field wala hawajawahi kufundisha. Kuna research zinafanyika kwenye vituo, mahabara na kwenye projects za makampuni na hivi ndio vinatoa matokeo ya maana zaidi kuliko zinazotoka direct vyuoniVyuo vyote nilivyopita mimi, teaching inachangia kati ya asilimia 15-25 kwenye packet yako ya tenure/promotion. Kama UDSM hawafanyi hivyo ni makosa kwa sababu kufundisha ni mojawapo ya jukumu la msingi sana kwa mwalimu wa chuo.
PhD sio kwa walimu wa vyuo tu. Kuna wasomi wana accomplishments nyingi kwenye industry na kwenye technical field wala hawajawahi kufundisha. Kuna research zinafanyika kwenye vituo, mahabara na kwenye projects za makampuni na hivi ndio vinatoa matokeo ya maana zaidi kuliko zinazotoka direct vyuoni
Alikuwaga nayo mkuuBMW aitoe wapi na ulofa ule
Mzilankende MnyagoWatuthibitishie kwanza Phd ya mwendazake ilipatikanaje wakati kila mtu wa kawaida alimuona kulaza kabisa
Ni kweli na ambao hawako kwenye academia tafiti zao nyingi zimekuwa na manufaa makubwa kijamii maana nyingi ni direct, tofauti na za academia nizakupandia promotionPhD sio kwa walimu wa vyuo tu. Kuna wasomi wana accomplishments nyingi kwenye industry na kwenye technical field wala hawajawahi kufundisha. Kuna research zinafanyika kwenye vituo, mahabara na kwenye projects za makampuni na hivi ndio vinatoa matokeo ya maana zaidi kuliko zinazotoka direct vyuoni
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe huyo sundi naye ni mjane wa taifaAtakuwa alikuwa anafanya mademu, hata sisi wakati tunakaa mabibo miaka ya 2001-2005 alikuwa anakuja block A kumfata Sundi aliyekuwa rafiki wa mwanae na akaamua kuzaa nae kipindi alikuwa Waziri wa Ardhi .
Hata mie saa hii huwa naenda tu chuo napaki gari natongoza mademu sio ishu. Anyway simpendagi tu Wala usihangaike nami.
[emoji23][emoji23] nilikuwa first year bana, licha ya mambo mengine ibada sikosi kabisa,hayo mabash yenye fujo nilikuwa siendi Mimi naona ushamba, huwa napenda sehemu tulivu zenye band huku kukiwa na upepo wa baharini ka slip way, coral reef, na kina sea cliffDuu ulikuwa unatafuta mchumba Nini Mana mkifika third year or second semester ya second year nadhani vipindi vya dini haukosi na nyumba za ibada zote mjini dar utazijua.
Ingawa first year huwa ni ya kuijua mji like welcome first year,so maisha,mbalamwezi,sea cliff,Serena hotel utazijua zote ama wewe ulizijua ukiwa mdogo. Mana huwa nakuonaga huwa na life na kimamtoni sana.yaani Don't give a damn even a shit to some fucking shit stuffs ndo huwa nachokuwa nakubali Sana.
Ma gwin hao conas wange disco mapema mno, [emoji23][emoji23]hafu usinikumbushe Hawa wachoyo wa marks ukijitahidi sana una b plainUsikute linakuita ofisini ili mjadili namna ya kukusaidia anaanza kukusifia kuwa wewe ni mtoto mzuri Sana.
Wapo department college gani hao. Ama ni wa Conass
Acha chuki 2007 alikua anaendesha Mercedes E220BMW aitoe wapi na ulofa ule
Ulikua unakaa mabibo block F? Block la wadangaji wa kishua. Tukiwattonngoza ss tusio na magar mbatuona maboya tu[emoji23][emoji23] nilikuwa first year bana, licha ya mambo mengine ibada sikosi kabisa,hayo mabash yenye fujo nilikuwa siendi Mimi naona ushamba, huwa napenda sehemu tulivu zenye band huku kukiwa na upepo wa baharini ka slip way, coral reef, na kina sea cliff
Mimi najua basi aina za magari basi lolote tu lile najua gari, ila hyo gari ilikuwa nzuriAcha chuki 2007 alikua anaendesha Mercedes E220
Block AUlikua unakaa mabibo block F? Block la wadangaji wa kishua. Tukiwattonngoza ss tusio na magar mbatuona maboya tu
Tulikua tunapishana weekend jogoo Mbezi anadrive mwenyewe. Mm hapo nipo kituoni kusubiria daladalaMimi najua basi aina za magari basi lolote tu lile najua gari, ila hyo gari ilikuwa nzuri
Mie nilikuwa block D na E pia na C nimekaa sema kujisomea ilikuwa ni block f la postgraduate Mana kule undergraduates sio wengi Mana unakuta Wana kelele Sana Kama fomu wani.Block A