UDSM hakuna vya bure

UDSM hakuna vya bure

Acha kufananisha udsm na mambo ya kijinga.
Bro nimesoma Pale. Ni chuo change hadhi yake na kikubwa lakini sio Faculties zote academically ni bora kuliko vyuo vingine.

Nenda tu hata mashule ya secondary utakutana na walimu very Smart na wametoka vyuo local tu. Yaani wamewaacha mbali sana wenzao waliopita UDSM. Nenda kwenye Taasisi au mashirika ulinganishe mtu wa Mzumbe au Tumaini vs UDSM utashika Tama.

UDSM Faculty za Science tu ndio wanastahili heshima kubwa sana. Lakini hizi za Business Administration etc etc wajisifu tu kuwa walisoma chuo kikubwa. Hivyo tu yaani
 
Vyuo vyote nilivyopita mimi, teaching inachangia kati ya asilimia 15-25 kwenye packet yako ya tenure/promotion. Kama UDSM hawafanyi hivyo ni makosa kwa sababu kufundisha ni mojawapo ya jukumu la msingi sana kwa mwalimu wa chuo.
PhD sio kwa walimu wa vyuo tu. Kuna wasomi wana accomplishments nyingi kwenye industry na kwenye technical field wala hawajawahi kufundisha. Kuna research zinafanyika kwenye vituo, mahabara na kwenye projects za makampuni na hivi ndio vinatoa matokeo ya maana zaidi kuliko zinazotoka direct vyuoni
 
PhD sio kwa walimu wa vyuo tu. Kuna wasomi wana accomplishments nyingi kwenye industry na kwenye technical field wala hawajawahi kufundisha. Kuna research zinafanyika kwenye vituo, mahabara na kwenye projects za makampuni na hivi ndio vinatoa matokeo ya maana zaidi kuliko zinazotoka direct vyuoni

Nilidhani kuwa hapa tulikuwa tunazungumzia UDSM...mazingira ya vyuoni tu ndiyo maana nikasema hivyo. Sikujua kama umepanua mawanda ya mjadala mpaka watafiti na wanasayansi walio nje ya akademia. Of course hao hawatakiwi kufundisha na wala hawabanwi na mlolongo wa vyeo kama hawa wanataaluma wanaofundisha vyuoni waliolengwa katika mjadala wa thread hii.

Kama ni hivyo basi uko sahihi [emoji818][emoji818][emoji818]
 
PhD sio kwa walimu wa vyuo tu. Kuna wasomi wana accomplishments nyingi kwenye industry na kwenye technical field wala hawajawahi kufundisha. Kuna research zinafanyika kwenye vituo, mahabara na kwenye projects za makampuni na hivi ndio vinatoa matokeo ya maana zaidi kuliko zinazotoka direct vyuoni
Ni kweli na ambao hawako kwenye academia tafiti zao nyingi zimekuwa na manufaa makubwa kijamii maana nyingi ni direct, tofauti na za academia nizakupandia promotion
 
Atakuwa alikuwa anafanya mademu, hata sisi wakati tunakaa mabibo miaka ya 2001-2005 alikuwa anakuja block A kumfata Sundi aliyekuwa rafiki wa mwanae na akaamua kuzaa nae kipindi alikuwa Waziri wa Ardhi .

Hata mie saa hii huwa naenda tu chuo napaki gari natongoza mademu sio ishu. Anyway simpendagi tu Wala usihangaike nami.
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe huyo sundi naye ni mjane wa taifa
 
Duu ulikuwa unatafuta mchumba Nini Mana mkifika third year or second semester ya second year nadhani vipindi vya dini haukosi na nyumba za ibada zote mjini dar utazijua.
Ingawa first year huwa ni ya kuijua mji like welcome first year,so maisha,mbalamwezi,sea cliff,Serena hotel utazijua zote ama wewe ulizijua ukiwa mdogo. Mana huwa nakuonaga huwa na life na kimamtoni sana.yaani Don't give a damn even a shit to some fucking shit stuffs ndo huwa nachokuwa nakubali Sana.
[emoji23][emoji23] nilikuwa first year bana, licha ya mambo mengine ibada sikosi kabisa,hayo mabash yenye fujo nilikuwa siendi Mimi naona ushamba, huwa napenda sehemu tulivu zenye band huku kukiwa na upepo wa baharini ka slip way, coral reef, na kina sea cliff
 
Usikute linakuita ofisini ili mjadili namna ya kukusaidia anaanza kukusifia kuwa wewe ni mtoto mzuri Sana.
Wapo department college gani hao. Ama ni wa Conass
Ma gwin hao conas wange disco mapema mno, [emoji23][emoji23]hafu usinikumbushe Hawa wachoyo wa marks ukijitahidi sana una b plain
 
[emoji23][emoji23] nilikuwa first year bana, licha ya mambo mengine ibada sikosi kabisa,hayo mabash yenye fujo nilikuwa siendi Mimi naona ushamba, huwa napenda sehemu tulivu zenye band huku kukiwa na upepo wa baharini ka slip way, coral reef, na kina sea cliff
Ulikua unakaa mabibo block F? Block la wadangaji wa kishua. Tukiwattonngoza ss tusio na magar mbatuona maboya tu
 
Mimi najua basi aina za magari basi lolote tu lile najua gari, ila hyo gari ilikuwa nzuri
Tulikua tunapishana weekend jogoo Mbezi anadrive mwenyewe. Mm hapo nipo kituoni kusubiria daladala
 
Basi nimepiga Sana mademu kavu pale uwanjani

2815227_kimambo__jr_20200905_215846_0.jpg
 
Back
Top Bottom