DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Chuo kikubwa kama hiki, ndani ya mwaka academic promotions hazifiki hata 30. Huu si ujinga tu. Ni yapi makubwa wafanya.Watu wanasotea promotions kwa kuandika kwenye majarida mbali mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo kikubwa kama hiki, ndani ya mwaka academic promotions hazifiki hata 30. Huu si ujinga tu. Ni yapi makubwa wafanya.Watu wanasotea promotions kwa kuandika kwenye majarida mbali mbali.
BMW aitoe wapi na ulofa uleEnzi nikiwa undergraduate nilikuwaga namuona jiwe department ya chemistry alikuwaga anaenda na BMW nyeusi
Wewe unayoBMW aitoe wapi na ulofa ule
Vyeti feki au fisadi? Makasiriko mno.BMW aitoe wapi na ulofa ule
Wapi hao my wanguDuh naona ma Dr watatu wamenifundisha kabla hawajawa ma Dr, wako promoted, tena huyo mmoja alikuwa mnoko hatari
Hukumtegaga akategeka ama ulimringia jamani saivi ungekuwa mama wa Taifa ama usingeweza ule ubabe wakeEnzi nikiwa undergraduate nilikuwaga namuona jiwe department ya chemistry alikuwaga anaenda na BMW nyeusi
Acha kufananisha udsm na mambo ya kijinga.Kimsingi UDSM huwa inafanya Mambo kujikuza tu. Wanatengeneza mazingira ya Magumu tofauti na uhalisia. Wakati hakuna utofauti wowote kitaaluma na aliyemaliza Theophile K university au St. Augustine.
Labda Muhimbili, Ardhi na jamaa wa Engineering ndiyo wanahitaji heshima. Hawa wengine sijui Law, BCom, Political Sc, Edu, BA... na science zingine za kinadharia nadharia SIJAONA UTOFAUTI WOWOTE NA GRADUATE WA THEOPHILE KISANGI
Huyu jamaa yupo very simple lakini kichwa kinachajiMartin chegere again
Asante kwa matusi lakini halifuti ukweli kuwa jamaa alikuwa mshamba, katili na muuaji. Wewe unayekula milo yote utaishi milele, amenMpuuzi kweli wewe,mwendazake alishaumaliza mwendo ,kapumzika Tena kwa heshima,bado wewe lofa Fulani hata Milo mitatu kwa siku inakupa tabu
Pole Sana,pambana na maisha yako
Wako taasisi mbili, huyo mwingine lilikuwa lichoyo la marks aiseeWapi hao my wangu
[emoji23][emoji23][emoji23]ungemsogeleaje mkuu, venue niliyokuwa naingia ilikuwa karibu na hyo department, enzi hizo nimeokoka na kumpenda JesusHukumtegaga akategeka ama ulimringia jamani saivi ungekuwa mama wa Taifa ama usingeweza ule ubabe wake
Magyfuri naturally hakuwa kilaza..Watuthibitishie kwanza Phd ya mwendazake ilipatikanaje wakati kila mtu wa kawaida alimuona kulaza kabisa
Very TrueAcha kufananisha udsm na mambo ya kijinga.
Usikute linakuita ofisini ili mjadili namna ya kukusaidia anaanza kukusifia kuwa wewe ni mtoto mzuri Sana.Wako taasisi mbili, huyo mwingine lilikuwa lichoyo la marks aisee
Usinilazimishe kumpenda mtu, ukimpenda wewe inatosha mie hata kama amekufa simpendi tu na hainisumbui otherwise nashukuru kwa maelezo yako ya hiyo PhD yakeAcha chuki na mtu ambae hayupo tena duniani,hiyo PhD kaipata hata kabla hajafikiria kuwa Rais wa nchi.
View attachment 2047474
Duu ulikuwa unatafuta mchumba Nini Mana mkifika third year or second semester ya second year nadhani vipindi vya dini haukosi na nyumba za ibada zote mjini dar utazijua.[emoji23][emoji23][emoji23]ungemsogeleaje mkuu, venue niliyokuwa naingia ilikuwa karibu na hyo department, enzi hizo nimeokoka na kumpenda Jesus
Hata sitafuti, simpendagi tu.Jamani, kama hamna data; acheni kuandika uongo. Magu hakupata PhD akiwa Rais. Katafute kitabu cha Graduands wa UDSM wa 2009, Kama unataka kujua Magu alipata PhD lini. Nenda katafute, nimekurahisishia kazi.
Atakuwa alikuwa anafanya mademu, hata sisi wakati tunakaa mabibo miaka ya 2001-2005 alikuwa anakuja block A kumfata Sundi aliyekuwa rafiki wa mwanae na akaamua kuzaa nae kipindi alikuwa Waziri wa Ardhi .Enzi nikiwa undergraduate nilikuwaga namuona jiwe department ya chemistry alikuwaga anaenda na BMW nyeusi