thehunk
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 529
- 227
wana jamii wa jf heshima kwenu kwa ujumla....nasikitishwa sana na hiki chuo kikongwe hapa nchini kutumia utaratibu mbovu wa utoaji vyeti kwani vyeti vinachelewa sana takribani zaidi ya mwaka ndio unakuja pata cheti chako tena ukienda pale 'examination unit' wanajibu kwa kebehi kabisa kuwa huo ndo utaratibu uliopo tangu chuo kinaanza kwa hiyo ni jambo la kawaida wakati walitakiwa kuonesha uchungu na kuguswa juu ya hili kwani kuna watu wanavihitaji hivyo vyeti zaidi ya wao wanavyo fikiria