UDSM ndiyo chuo pekee Tanzania kati ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora Afrika

UDSM ndiyo chuo pekee Tanzania kati ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora Afrika

msovero

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
863
Reaction score
1,534
Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.

Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.

Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.

Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.

Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:

20210803_052121_UDSM_UDSM emerges the First in Tanzania in Webometrics Ranking.jpg
 
Wavuti inayofanya tafiti, wao wametafiti, wewe unasemaje
 
Bwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.

The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.

This period falls between mid September and late October in our present day calendar.

Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?

Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.

Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.

Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.

Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.

Kuna kitu kingine nimeona.

Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
 
Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.

Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.

Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.

Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.

Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:

View attachment 1948231
Hiyo Shda Haiongelei Academic Grounds ,Research and Citations ,Muhas Kwa vyote hvyo Ndo namba 1
 
Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.

Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.

Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.

Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.

Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:

View attachment 1948231
Muhas ndo Namba 1 Tanzania kijana ,data Zote hizo hapo Soma
Screenshot_20210911-041202_Drive.jpg
Screenshot_20210911-041717_Chrome.jpg
Screenshot_20210912-211236_Facebook.jpg
Screenshot_20210911-042159_Chrome.jpg
Screenshot_20210911-042231_Chrome.jpg
 
Naona kila mtu ana kuja na chuo chake na mtandao wake ulio mfanya awe bora...

Nchi ngumu hii tuendelee kujipa unamba moja hata kama hauna sifa hiyo...

Haya wenye data za CBE kuwa namba moja au Udom nanyi mje muweke hapa,

Udsm namba 1
Muhas namba 1
Sua namba 1

Haya leteni data huko za vyuo vingne namba moja

Hahahahahaha, nchi ngumu wananchi majuha...
 
Ni dhahiri Udsm imeshuka uwezo, lakini bado imeviacha mbali Sana vyuo vingine Tanzania.

Billy Shankly: First is first, second is nothing.
 
Back
Top Bottom