Lakini pia ndio chuo kinachoongoza kutoa viongozi wapuuzi kabisa katika taifa hili!!!
Hii nayo ni sifa? Mbona kinaongoza kwa kila kitu tajeni sifa zoteWavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.
Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.
Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.
Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.
Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:
View attachment 1948231
Marehenu Sitta naye si alisoma hapo?Hasa wa miaka hii ya karibuni.
Kwenye vyuo bora700 duniani hakimo Kenyatta kipo namba 501Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.
Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.
Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.
Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.
Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:
View attachment 1948231
Bora sasahivi kuna vyuo vikuu vingi tz maana enzi ya vyuo vichache kila fisadi linaloipiga tz limesoma ud now vyuo vingine vitatoa mafisadi piaHilo halina ubishi, hicho ndiyo huwa selection ya kwanza kwa kila mhitimu wa A-level ila wanapokataliwa ndiyo huwa wanageuka wapinzani. Udsm ndiyo chuo bora Tanzania
Haya mahubiri hamishia jukwaa la dini huku umepotea mkuuBwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.
Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.
The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.
This period falls between mid September and late October in our present day calendar.
Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?
Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.
Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.
Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.
Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.
Kuna kitu kingine nimeona.
Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
Now you're talkingLakini pia ndio chuo kinachoongoza kutoa viongozi wapuuzi kabisa katika taifa hili!!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hivi majalalani yuko wapi nowadays??University of Jalalani.
Kijana wa bi Hellen White [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.
Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.
The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.
This period falls between mid September and late October in our present day calendar.
Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?
Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.
Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.
Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.
Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.
Kuna kitu kingine nimeona.
Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
😂😂😂 Mzee wa praise & worship Hasikiki kabisa nowdays aisee sijui kapatwa na nini.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hivi majalalani yuko wapi nowadays??
What about Subufa mwenye cheti cha milembe?? Mtanzania wa Kwanza kumuona mke wa YESU kule Galilaya??Kayafa Mwendazake,Mwigulu,Prof Majalala,Mwakyembe
Hujambo NZI WA KIJANI?!Kwenye vyuo bora700 duniani hakimo Kenyatta kipo namba 501
Chuo cha hovyo
USSR
Yule jamaa ndiyo amechangia Sana kuichafua UDSM yaani senior lecture anautangazia ulimwengu kuwa UDSM NI JALALANI KWELI??[emoji23][emoji23][emoji23] Mzee wa praise & worship Hasikiki kabisa nowdays aisee sijui kapatwa na nini.
Unataka wajitambulishe kila mahali wamekuwa vichaa?
John Harding?Ni dhahiri Udsm imeshuka uwezo, lakini bado imeviacha mbali Sana vyuo vingine Tanzania.
Billy Shankly: First is first, second is nothing.
UNESCO inadai wahitimu wetu hawatoshelezi mahitaji ya soko kitaaluma, wako chini ya viwango.Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.
Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.
Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.
Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.
Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:
View attachment 1948231
Profesa wa chuo Bora anapokiita chuo chake Jalala!Jalalani university