Punguza chuki mkuu, chuo cha hovyo hakiwezi kuwa kwenye Top 50 ya vyuo vikuu bora barani afrika. Maana yake bila udsm tusingekuwa na chuo kinachotuwakilisha kimataifaKwenye vyuo bora700 duniani hakimo Kenyatta kipo namba 501
Chuo cha hovyo
USSR
mfano mzee wa twashwishwi na kubagazanaLeta data kuthibitisha hoja yako acha uchonganishi
Ubora wa nini mnaozungumzia? Kuna mambo mengine tunakaa kimya tu maana yanaaibisha akili zetuWavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.
Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.
Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.
Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.
Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:
View attachment 1948231
Hatupingi mkuu ni cha 42 Afrika pigia mstariWavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.
Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.
Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.
Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.
Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:
View attachment 1948231
Anzisha thread yako juu ya hili…otherwise haupo mahali sahihiBwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.
Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.
The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.
This period falls between mid September and late October in our present day calendar.
Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?
Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.
Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.
Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.
Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.
Kuna kitu kingine nimeona.
Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
Unauhakika mkuu!!! inategemea na future ya mtu kwa mfano watu wanotak health kichwan chaguo la kwanz ni muhas ikishndkan ndo wanaangalia vyuo vingneHilo halina ubishi, hicho ndiyo huwa selection ya kwanza kwa kila mhitimu wa A-level ila wanapokataliwa ndiyo huwa wanageuka wapinzani. Udsm ndiyo chuo bora Tanzania
Mwakyembe,Leta data kuthibitisha hoja yako acha uchonganishi
polepole ni kichwa kile sema v8 zinamsumbua . Ni technical inchargeMwakyembe,
Lipumba
Lowassa
Polepole
Yaani upuuzi ni afadhari hata ya Msukuma ambaye ameenda street university ya Geita!!
Hujui kuwa Yesu alikwisha kurudi ? Unan'ang'ania siku isiyoweza kukuokoa !!Bwana Yesu Kristo alizaliwa during the Feast of Tabernacles.
Hii ni hakika na kweli kabisa kabisa.
The biblical Feast of Tabernacles starts from the 15th day of the biblical seventh month, and ends on the 22nd day of the same biblical seventh month.
This period falls between mid September and late October in our present day calendar.
Follow hii link inaelezea precisely: What day was Jesus born?
Kwa mwaka huu, the Feast of Tabernacles ina anza baada ya jua kuzama on the 20th of September 2021, na ina isha jua likizama on the 28th of September 2021.
Tutakiane kumbukumbu nzuri na sahihi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo.
Tukumbuke kuwa atakapo rudi mara ya pili, atarudi during the Feast of Tabernacles.
Hatujui atarudi mwaka gani, so hatujui itakuwa Feast of Tabernacles ya mwaka upi, na kwa hivyo pia hatujui itakuwa siku gani na saa gani.
Kuna kitu kingine nimeona.
Kitabu cha Numbers (Hesabu) 28 and 29, kinaonyesha kwamba The Feast of Tabernacles ilikuwa na sadaka nyingi za kuteketeza kuliko annual biblical feasts nyingine.
Kimementain ubora kwa kweli!Wavuti inayofanya tafiti na kutoa orodha ya vyuo vinavyoongoza kwa ubora duniani 'webometrics' imekitaja chuo kikuu cha dar es salaam 'udsm' kuwa ndio chuo pekee kutokea Tanzania kuwepo kwenye orodha ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora barani Afrika.
Kwa mujibu wa rank za vyuo vikuu iliyotolewa na wavuti ya webometrics mwezi july mwaka huu 2021, udsm kimeshika nafasi ya 42 kwa ubora barani Afrika, nafasi ya 1911 kwa ubora duniani na nafasi ya kwanza kwa ubora kati ya vyuo vikuu 51 nchini Tanzania.
Viwango vya ubora vya sasa vilivyotolewa na webometrics vinaonyesha kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam 'udsm' kimepata maendeleo makubwa ukilinganisha na viwango vilivyotolewa mwezi january mwaka huu ambapo kilitajwa kushika nafasi ya 1971 ulimwenguni.
Aidha, webometrics imeendelea kukitaja 'udsm' kushikilia na kudumisha msimamo wake wa kuwa chuo kikuu cha kwanza kwa ubora nchini Tanzania.
Utafiti huu unapatikana katika wavuti ya webometrics kupitia kiunganishi hapa chini:
View attachment 1948231
Kata gani?Naskia UDOM ni cha KATA eti ni kweli!??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naskia UDOM ni cha KATA eti ni kweli!??
Polepole hawezi kuwa kasoma udsmMwakyembe,
Lipumba
Lowassa
Polepole
Yaani upuuzi ni afadhari hata ya Msukuma ambaye ameenda street university ya Geita!!