UDSM ndiyo chuo pekee Tanzania kati ya vyuo vikuu 50 vinavyoongoza kwa ubora Afrika

Hilo halina ubishi, hicho ndiyo huwa selection ya kwanza kwa kila mhitimu wa A-level ila wanapokataliwa ndiyo huwa wanageuka wapinzani. Udsm ndiyo chuo bora Tanzania
Tutajie sasa vyuo ambavyo sio bora.Halafu utueleze Kwanini sasa TCU haivifungii?.
 
Wewe utakuwa mkufunzi wa chuo fulani na hapa unaonyesha chuki yako ya wazi juu ya chuo kikuu cha dar es salaam
 
Okay. Sisi wa SUZA tukaushe tu
 
Wewe soma ukimaliza njoo omba kazi Ndipo atasema afadhali ningekwenda VETA.
 
Leta data kuthibitisha hoja yako acha uchonganishi
Si yule Prof.Kabudi aliyewahi kusema kuwa anamshukuru Magufuli kwa kumtoa jalalani.Mtu ni Prof.anafundisha UDSM lkn anasema eti alikuwa jalalani.Mara oh!!, mhe.mungu ah!, mheshimiwa Magufuli.
 
Hilo halina ubishi, hicho ndiyo huwa selection ya kwanza kwa kila mhitimu wa A-level ila wanapokataliwa ndiyo huwa wanageuka wapinzani. Udsm ndiyo chuo bora Tanzania
Wakati namaliza A-level interest yangu ilikuwa ni kusoma Kilimo na UDSM hakukuwa na Kilimo,sasa ndoto ya kusoma UDSM ingekujaje??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…