UDSM UE is around

UDSM UE is around

Naona wasomi mnachambuana vilivyo, sisi huku kwetu hata neno "chuo" ni msamiati mgumu sana kijiji kizima. Ukiuliza msomi ni nani utaambulia kutajiwa vijana "tuliohitimu" kidato cha nne ktk shule za upili zilizoanza kujengwa kwa amri ya mzee Ngoyayi.

Wasomi wetu tangu wapate astashahada na shahada zao hawajawahi kujikomboa kutokana na utumwa wa kisiasa uliotamalaki nchini petu.

Wasomi wetu pia pamoja na tafiti zao sijawahi kusikia wameweza kutatua tatizo la umasikini, ajira na huduma za jamii kama maji, umeme na afya.

Heri yao wasomi, sina mengi ila najiuliza ni kwa nini wasomi warumbanie majina ya vyuo badala ya kupanga mipango ya kuleta maendeleo ktk familia, jamii na hata taifa kwa ujumla?

Namm ndo huwa mara zote nashangaa, umeongea point sana mkuu... Mbaya zaidi wasomi wasikuhizi akili zao zinawaza kuajiriwa tu na hii ndo sababu tatizo la umaskini linazidi kuwa kubwa
 
Namm ndo huwa mara zote nashangaa, umeongea point sana mkuu... Mbaya zaidi wasomi wasikuhizi akili zao zinawaza kuajiriwa tu na hii ndo sababu tatizo la umaskini linazidi kuwa kubwa

Maelezo mazuri sana. Sasa nawaasa wasomi wetu watumie usomi wao kutafuta suluhu ya matatizo yetu badala ya kutambiana ubora wa kozi ama vyuo. Hebu nikuulize swali dogo tu kwamba ktk pitapita zako hapo mnapopaita chuoni umewahi kujua msomi na mdau mkubwa wa elimu aitwaye Rwekaza Mukandala ameifanyia nini nchi yetu zaidi ya kufanya tafiti za kutengenezea mazingira ya ushindi rafiki zake ktk siasa? Unajua alichokifanya Baraza la Mitihani la Taifa akiwa kama mwenyekiti?

Ukipata majibu ya hapo sasa fikiria mtu anaitwa Mwakyembe, Magembe, Mahalu, Mwandosya na wengineo wa namna hiyo kisha uniambie ni nini kimewakumba hadi wakawasaliti wananchi wao na "kuolewa" na siasa/wanasiasa?

Mkuu mimi si mjuzi sana wa mambo ya siasa ila naona siasa inawameza wasomi wetu. Ukipata muda pitia kitabu kinaitwa "A Man of the People" kimeandikwa na hayati Chinua Achebe wa Nigeria kisha uniambie utofauti wa Chief Nanga ktk kitabu hicho na hao wanaoitwa maprofesa, madaktari wa uzamivu, nk. nk.
 
Vilaza huwa wanajipa moyo kusema UDSM ni chuo cha kata kwasababu vilaza huwa hawachaguliwi UDSM, so kijana ww soma hukohuko ulipo tuache tunaopata DIVISION ONE na UDSM yetu, ww na kathree kako soma huko ulipo. But the truth will stand kwamba kibongobongo ukizungumzia CHUO KIKUU unazungumzia MLIMANI

ha!.ha!ha!!ha!kuna dogo ana 3.15 yupo COET,.hapo vp?,..bwahahahahahaha!
 
Hapo sio kweli, nimekuwa katika hicho chuo kwa miaka minne na sijawahi kukumbwa na hayo uanyoyadai. Nahudhuria mihadhara na semina (karibu zote), najisomea kwa muda wa saa moja kila siku hivyo sina haja ya kuwa na wasiwasi. Nadhani na wengine wanaofuata mfumo huu hawana shida, nimefanya mitihani ya kitaifa mara kadhaa maishani mwangu, nadhani ile ina presha kuliko maksi sitini za hiki chuo cha kuzalisha wasomi ma.vi.

Nyie ndo mlopata degree kwa migongo ya watu kaz kuhonga tu.....wanaume wa kweli laZima wamestrugle
 
Mbeya university of science and technology wish all da best 23 June to 4 July...
 
Mmh stil kuna watoto humu..bt mkikua mtaacha izo itikad zenu hafifu..
 
Nyie ndo mlopata degree kwa migongo ya watu kaz kuhonga tu.....wanaume wa kweli laZima wamestrugle

Kustuggle hakuna uhusiano na kupata shida, nina shaka na akili yako. Nimeandika hapo juu kuwa nahudhiria mihadhara, naingia semina zote na najisomea kila siku lisaa moja. Sijui kuhonga kunakuja wapi hapo.

Nimeamini mse.nge hana mkole...
 
Back
Top Bottom