Maho gel
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 307
- 98
Habari zenu wakuu.
Zikiwa zimesalia takribani wiki mbili hivi watu kumalizia test two zao ili wapate course work nakuingia UE, inayoanza mnamo tar 23 JUNE - 4 JULY ,kipindi hiki huwa nikigumu sana kwetu sisi wanafunzi wa UDSM kwa maandalizi , kwani ni kipindi cha shida na mateso, pale ambapo course work zisiposoma vizuri, incomplete nying, carry over, ambazo huwafanya watu wawe katka hali isiyo ya kawaida ( kupaniki) .
Jaman inabidi tu mtu u struggle ili Ue upate kuchomoka au kutoka.Kwa sababu haya ndio matokeo yetu ya mwisho wa muhula (SEMISTER) na huwayanapandisha na kushusha GPA so jamani struggle is very important tu hata ukiingia na course work ndogo ukikazana possibilty ya kupata A au B+ inakuepo,Lengo letu ni kutaka kuondokana na hii SEPTEMBER CONFERENCE, Kwni inaumiza ,wenzio wako nyumbani alafu wewe unakuja chuo ku sapua so bored sana, kitu kingne tuwecare na vitu vyetu mfano simu, laptop, tablets na vitu vingne vya kusomea kwanikipindi hiki wizi na uvamizi ni mwingi sana pia unavoenda kusoma mf yombo kule ni vizuri atleast muwe wengi kiusalama zaidi.
WISHiING YOU NICE PREPARATION UD.
Zikiwa zimesalia takribani wiki mbili hivi watu kumalizia test two zao ili wapate course work nakuingia UE, inayoanza mnamo tar 23 JUNE - 4 JULY ,kipindi hiki huwa nikigumu sana kwetu sisi wanafunzi wa UDSM kwa maandalizi , kwani ni kipindi cha shida na mateso, pale ambapo course work zisiposoma vizuri, incomplete nying, carry over, ambazo huwafanya watu wawe katka hali isiyo ya kawaida ( kupaniki) .
Jaman inabidi tu mtu u struggle ili Ue upate kuchomoka au kutoka.Kwa sababu haya ndio matokeo yetu ya mwisho wa muhula (SEMISTER) na huwayanapandisha na kushusha GPA so jamani struggle is very important tu hata ukiingia na course work ndogo ukikazana possibilty ya kupata A au B+ inakuepo,Lengo letu ni kutaka kuondokana na hii SEPTEMBER CONFERENCE, Kwni inaumiza ,wenzio wako nyumbani alafu wewe unakuja chuo ku sapua so bored sana, kitu kingne tuwecare na vitu vyetu mfano simu, laptop, tablets na vitu vingne vya kusomea kwanikipindi hiki wizi na uvamizi ni mwingi sana pia unavoenda kusoma mf yombo kule ni vizuri atleast muwe wengi kiusalama zaidi.
WISHiING YOU NICE PREPARATION UD.