UDSM utaratibu wa utoaji vyeti kwa wahitimu ni sifuri mjue kuna vijana hawana ndugu hapa Dar

UDSM utaratibu wa utoaji vyeti kwa wahitimu ni sifuri mjue kuna vijana hawana ndugu hapa Dar

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Hili jambo limenisikitisha sana kama si kunifedhehesha utaratibu wa kutoa vyeti ni wa hovyo kabisa!! Vijana wametoka mikoani na wanawahi ku apply ajira ajabu tangia jumatatu mpaka Leo hawajapata vyeti, wengi wao hawana ndugu hapa Wala pesa ya kujikimu hawajui watalala wapi

Kila siku wanapanga foleni asubuhi mpaka jioni hakuna vyeti na wanawahi ajira hizi wa apply wajaribu bahati Yao kwa Nini mnawafanyia hivi? Kesho ni ijumaa jumamosi itakuwa Idd. Mnawaweka wapi? Kama zoezi ni gumu wasaidieni Mahali pa kulala na mjue mmeshikilia hatima za watu

Sijapenda huu utaratibu na pesa zao mmechukua. Kila mwanachuo kalipa 15000! Kwa Nini hamjali watoto wa wenzenu?

Sijapenda badilikeni mnafanya mambo ya kizamani sana na mifumo mnayotumia Haina hadhi ya chuo kikuu kinachotegemewa na watanzania wengi vyeti 400 mnachukua wiki nzima au kwa sababu nyinyi mmeshiba ugali?

Mnakera sana mamlaka ichukue hatua vijana wengi hawataweza ku apply hizi ajira kwa kukosa vyeti kwa uzembe wenu
 
Hili jambo limenisikitisha sana kama si kunifedhehesha utaratibu wa kutoa vyeti ni WA hovyo kabisa !! Vijana wametoka mikoani na wanawahi ku apply ajira ajabu tangia jumatatu mpaka Leo hawajapata vyeti ..wengi wao hawana ndugu hapa Wala pesa ya kujikimu hawajui watalala wapi ....Kila siku wanapanga foleni asubuhi mpaka jioni hakuna vyeti na wanawahi ajira hizi wa apply wajaribu bahati Yao kwa Nini mnawafanyia hivi ? Kesho ni ijumaa jumamosi itakuwa Idd...mnawaweka wapi? Kama zoezi ni gumu wasaidieni Mahali pa kulala na mjue mmeshikilia hatima za watu ... Sijapenda huu utaratibu na pesa zao mmechukua ...Kila mwanachuo kalipa 15000! Kwa Nini hamjali watoto wa wenzenu? Sijapenda badilikeni mnafanya mambo ya kizamani sana na mifumo mnayotumia Haina hadhi ya chuo kikuu kinachotegemewa na watanzania wengi ...vyeti 400 mnachukua wiki nzima au kwa sababu nyinyi mmeshiba ugali ? Mnakera sana mamlaka ichukue hatua vijana wengi hawataweza ku apply hizi ajira kwa kukosa vyeti kwa uzembe wenu
Tunakuelewa pole.
 
Ila
Hili jambo limenisikitisha sana kama si kunifedhehesha utaratibu wa kutoa vyeti ni WA hovyo kabisa !! Vijana wametoka mikoani na wanawahi ku apply ajira ajabu tangia jumatatu mpaka Leo hawajapata vyeti ..wengi wao hawana ndugu hapa Wala pesa ya kujikimu hawajui watalala wapi ....Kila siku wanapanga foleni asubuhi mpaka jioni hakuna vyeti na wanawahi ajira hizi wa apply wajaribu bahati Yao kwa Nini mnawafanyia hivi ? Kesho ni ijumaa jumamosi itakuwa Idd...mnawaweka wapi? Kama zoezi ni gumu wasaidieni Mahali pa kulala na mjue mmeshikilia hatima za watu ... Sijapenda huu utaratibu na pesa zao mmechukua ...Kila mwanachuo kalipa 15000! Kwa Nini hamjali watoto wa wenzenu? Sijapenda badilikeni mnafanya mambo ya kizamani sana na mifumo mnayotumia Haina hadhi ya chuo kikuu kinachotegemewa na watanzania wengi ...vyeti 400 mnachukua wiki nzima au kwa sababu nyinyi mmeshiba ugali ? Mnakera sana mamlaka ichukue hatua vijana wengi hawataweza ku apply hizi ajira kwa kukosa vyeti kwa uzembe wenu
Si nimesikia ajira zinaanza kwanza na wa mwaka 2015?
 
Hili jambo limenisikitisha sana kama si kunifedhehesha utaratibu wa kutoa vyeti ni WA hovyo kabisa !! Vijana wametoka mikoani na wanawahi ku apply ajira ajabu tangia jumatatu mpaka Leo hawajapata vyeti ..wengi wao hawana ndugu hapa Wala pesa ya kujikimu hawajui watalala wapi ....Kila siku wanapanga foleni asubuhi mpaka jioni hakuna vyeti na wanawahi ajira hizi wa apply wajaribu bahati Yao kwa Nini mnawafanyia hivi ? Kesho ni ijumaa jumamosi itakuwa Idd...mnawaweka wapi? Kama zoezi ni gumu wasaidieni Mahali pa kulala na mjue mmeshikilia hatima za watu ... Sijapenda huu utaratibu na pesa zao mmechukua ...Kila mwanachuo kalipa 15000! Kwa Nini hamjali watoto wa wenzenu? Sijapenda badilikeni mnafanya mambo ya kizamani sana na mifumo mnayotumia Haina hadhi ya chuo kikuu kinachotegemewa na watanzania wengi ...vyeti 400 mnachukua wiki nzima au kwa sababu nyinyi mmeshiba ugali ? Mnakera sana mamlaka ichukue hatua vijana wengi hawataweza ku apply hizi ajira kwa kukosa vyeti kwa uzembe wenu
Hili nalo la kuandika kweli kuna vitu ni vya kumaliza hapo hapo.

Vijana mnakwama sana punguzeni kulia kulia kila mtu ana mambo yake wakati mwingine. Be strong all the time.
 
Chuo kinachokera Tanzania........wamelewa sifa.

NI chuo ambacho naamini kinaendeshwa kizee kuliko vyuo vyote Tanzania. Leo hii hata open university of Tanzania wanawazidi UDSM Kwa huduma.

Hakuna accountability; KAZI Yao kubwa wanayoiweza nikuzuia wanafunzi wasifanye vizuri, kufelisha wenye akili.....kuweka urasim kwenye mfumo mzima WA huduma.

Kwanini haya yanatokea? NI Kwa Sababu kimekuwa chuo cha kurithishana madaraka. Kwamba Baba anamsomesha mtoto na kumtafutia ajira so watu makini hawana nafasi yakufanya reform katika hiyo taasisi.

Inshort NI chuo chenye watu wenye roho mbaya toka tunasoma hapo miaka ya 1990
 
Hili jambo limenisikitisha sana kama si kunifedhehesha utaratibu wa kutoa vyeti ni WA hovyo kabisa !! Vijana wametoka mikoani na wanawahi ku apply ajira ajabu tangia jumatatu mpaka Leo hawajapata vyeti, wengi wao hawana ndugu hapa Wala pesa ya kujikimu hawajui watalala wapi

Kila siku wanapanga foleni asubuhi mpaka jioni hakuna vyeti na wanawahi ajira hizi wa apply wajaribu bahati Yao kwa Nini mnawafanyia hivi ? Kesho ni ijumaa jumamosi itakuwa Idd...mnawaweka wapi? Kama zoezi ni gumu wasaidieni Mahali pa kulala na mjue mmeshikilia hatima za watu

Sijapenda huu utaratibu na pesa zao mmechukua ...Kila mwanachuo kalipa 15000! Kwa Nini hamjali watoto wa wenzenu?

Sijapenda badilikeni mnafanya mambo ya kizamani sana na mifumo mnayotumia Haina hadhi ya chuo kikuu kinachotegemewa na watanzania wengi vyeti 400 mnachukua wiki nzima au kwa sababu nyinyi mmeshiba ugali?

Mnakera sana mamlaka ichukue hatua vijana wengi hawataweza ku apply hizi ajira kwa kukosa vyeti kwa uzembe wenu
Wahusika wajitokeze ili wawaeleweshe wahitimu ni shida gani ya dharura ambayo imetokea na kupelekea hali kama hiyo. Kwa hadhi ya chuo kama UDSM hiki ni kitu cha ajabu sana kutokea hapo.
Je! Tatizo lipo kwenye mtambo wa kuchapisha hivyo vyeti?
Je! Vyeti vilishachapishwa isipokuwa tatizo lipo kwa wahusika kutia sahihi katika vyeti hivyo!?
Je! Ni suala la ukiritimba usiokuwa na maana yoyote ile nje ya "attention" ya uongozi?
Je! Vipi kuhusu "academic transcript" hata hizi nazo zinahitaji mlolongo mrefu kuzipata!?

Utawala jitokezeni hadharani muwape wahitimu vyeti vyao haraka iwezekanavyo. Yaani wame "hussle" kuhitimu na pia hata kupata vyeti vyao pia wapigike! Hii ni mbaya na haingii akili hata kidogo.
 
Kwanza nitoe pole kwa masahibu yaliyowakuta. Pili, kwa uzoefu mdogo ni kwamba sisi huwa tunapenda kuzima moto, pale tunaposikia ajira zimetangazwa ndipo tunaanza kufanya clearance, kuomba transcript na vyeti kitu ambacho kiuhalisia huwezi kumaliza kwa wakati. Tatu nitoe ushauri kwanza kwa wahitimu, pale unapohitimu fanya uwezalo kufanya clearance (ambayo unaweza kuifanya siku ulipomaliza mitihani tu-haihitaji mpaka kusubiri graduation hii) na kuomba transcript mapema. Transcript ukiwa nayo inarahisisha kila kitu, hata mtu akienda kuomba cheti akiwa na transcript ni suala la masaa tu. Tusingojee ajira zitangazwe au pale vinapohitajika kwa mwajiri. Unapoomba transcript lazima ufanyiwe upekuzi wa kina kabla ya kupewa-ikiwemo uhasibu kama unadaiwa au la, na taarifa zako nyinginezo kama ni kweli ni wewe mhusika au mtu anataka kupiga!Baada ya hapo kupata cheti hakuna mlolongo ilimradi tu anayechukua awe ndiye mhusika na siyo mtu mwingine labda awe ameomba ichukuliwe na DHL. Huwa najiuliza inakuwaje mtu amemaliza mwaka 2010 aje akadai cheti leo? Amemaliza mwaka 2021 kwanini asichukue mapema?

Mleta ujumbe amesema vyeti 400 kwa wiki, hapo amesema uongo mkubwa, kwa utafiti mdogo nimegundua vyeti zaidi ya mia tano hutolewa kwa siku.

Mwisho ni ushauri kwa chuo, kijipange vyema zaidi kuweka vitengo vyake kwa utayari muda wote.

Narudia poleni sana wenzangu kwa usumbufu unaojitokeza
 
Back
Top Bottom