UDSM wanafunzi washindwa kufanya mitihani ya majaribio kisa ADA

UDSM wanafunzi washindwa kufanya mitihani ya majaribio kisa ADA

Foffana

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2022
Posts
861
Reaction score
1,547
SAKATA LA VALID ID

Zaidi* ya robo tatu ya Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam wameshindwa kufanya mitihani yao ya majaribio baada ya kukiuka kanuni na taratibu za mtihani za chuo kikuu cha Dar es salaam zinazowataka kuwa na kitambulisho halisi cha chuo ndani ya muhula au mwaka husika ( Valid id).

Katika maeneo mbalimbali wanafunzi hao wameonekana wakizunguka zunguka bila uelekeo maalumu huku wengine wakiongea peke yao, Aidha Quimb media imefanikiwa kukuta Wanafunzi wengine wakiwa nje ya vyumba vya mitihani wakati mitihani ikiwa inandelea na minong'ono ya hapa na pale ikiendelea.

Tumefanikiwa kufanya mahojiano na baadhi ya wahanga hao kujua sababu hasa ni nini iliowafanya kuvunja sheria hio ya mtihani kwa idadi kubwa hivyo ya wanafunzi.

"kwani hali za uchumi wetu hamzijui ...hilo boom la kwanza watu wangejigawa...vp ...yani kwanza saivi tu watu hali ni mbaya sasa na wangelipa adaa si tungekuwa tunaokotana tu venue....kwani wakiacha utaratibu wa mwanzo ule kuna tatizo gani mbona mambo yalikuwa yanaenda

NB:Nimeanza kumuelewa yule mbunge aliyetrend siku chache zilizopita alikuwa na point kubwa sana kama angesikilizwa vizuri kabisa
 

Attachments

  • IMG-20240514-WA0029.jpg
    IMG-20240514-WA0029.jpg
    137.5 KB · Views: 8
mrejesho mkuu.
nasikia madogo wamelimwa barua kila mtu ajieleze.
sakata limeishia wapi.
Waliolimwa barua ni wale ambao hawakuingia kabisa kufanya mtihani wa somo fulani huku sababu ikiwa ni kugongana kwa ratiba baina ya masomo mawili yaliwekwa mda mmoja

So wanafunzi wakachagua kufanya somo mojawapo na kutotokea katika somo lingine....Invigilators wanafika venues hawaoni wanafunzi ikabidi wakareport katika department ndo wanafunzi wote wakalimwa barua
 
Waliolimwa barua ni wale ambao hawakuingia kabisa kufanya mtihani wa somo fulani huku sababu ikiwa ni kugongana kwa ratiba baina ya masomo mawili yaliwekwa mda mmoja

So wanafunzi wakachagua kufanya somo mojawapo na kutotokea katika somo lingine....Invigilators wanafika venues hawaoni wanafunzi ikabidi wakareport katika department ndo wanafunzi wote wakalimwa barua
It does not make sense...
Kama ni kweli, basi hilo darasa hawajielewi.
Nini kazi ya Class Rep. Alitakiwa akatoe report/awasiliane na course instructor mmojawapo kumjulisha kuwa ratiba imegongana. Tena anaweza mtumia hata ujumbe wa simu tu.
watakua first year hao.
 
It does not make sense...
Kama ni kweli, basi hilo darasa hawajielewi.
Nini kazi ya Class Rep. Alitakiwa akatoe report/awasiliane na course instructor mmojawapo kumjulisha kuwa ratiba imegongana. Tena anaweza mtumia hata ujumbe wa simu tu.
watakua first year hao.
Wanavodai taarifa walifikishiwa ila ilitokea tu misunderstanding kati yao ikichagizwa na kipindi kile wanafunzi wengi walizuiwa kufanya mitihani yao so ikahesabika kama walisupport waliozuiwa wenzao kwa kugoma kuingia chumba cha mtihani
 
Back
Top Bottom