Mabulangati
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 796
- 167
Ni mida hii? Kwahiyo nikija mida hii nitaopoa totoz hapo? Hebu nijuze mkuu nije fastaaaa!
msizungumze vitu hamjui maana yake
danguro mnajua lilivyo?
swala la wanafunzi kujiuza kimya kimya hilo lipo dunia nzima
but usiseme danguro
alafu mbona huyu kapiga faini kubwa sana? mie mbona nilitoa buku 50 tuu
alisikia kuwa uyaone akafikiri ni magorofa marefu mjini kumbe ni mambo kama hayombona hayo ni mambo ya kawaida vyuoni uazeeka vibaya boy..kua uyaone baab
mbona umepandisha munkari unasoma udsm mkuu hahahahah lile ni danguro kataa usikatae hapafai pale!!!me too
karibu sana
mbona umepandisha munkari unasoma udsm mkuu hahahahah lile ni danguro kataa usikatae hapafai pale!!!
Kumbe!hata cjakichagua chuo cha udsm.ASANTE SANA MUNGU KUNIEPUSHA NA BALAA HILI
Ni mida hii? Kwahiyo nikija mida hii nitaopoa totoz hapo? Hebu nijuze mkuu nije fastaaaa!
Swala la ngono Vyuoni mbona ni " Universal". Lipo vyuo vyote unavyovifahamu wewe japo inawezekana kwa viwango tofauti tofauti .
Kwani pale Main Campus kuna Blocks hizo unazotaja? Mimi nilifikiri kuna hall 1, 2, 3, 5, 6 na kadhalika halafu Mabibo ndio kuna Block A mpaka G (pale kwenye tanki). Sioni cha ajabu hapa mambo hayo yapo kila sehemu, kila chuo na hata huku uraiani> By the way watoto wamekosa mikopo sasa wafanyeje na maisha mjini yanakaba?