Mabulangati
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 796
- 167
Hawa ndiyo wale anagombana na kiongozi wa daruso kwa kugombea demu badala ya kudili na hoja binafsi anaenda rev square na watu wanamsikiliza.
Ushahidi anaoutoa mwenzetu haueleweki kabisa ukienda anapotaja sijui labda wenzangu nanyi muende mkajionee.
Tujifunze kutoa mada za kuelimisha, kuburudisha, kukosoa, kuelekeza na siyo za kiungo na za kichochezi
Ushahidi anaoutoa mwenzetu haueleweki kabisa ukienda anapotaja sijui labda wenzangu nanyi muende mkajionee.
Tujifunze kutoa mada za kuelimisha, kuburudisha, kukosoa, kuelekeza na siyo za kiungo na za kichochezi