jaman UDSM yageuka danguro mapenzi yanafanya sehem yoyote giza likiingia,mwanafunzi mmoja wa udbs(udsm school of bussiness)afumaniwa kwenye gari la mshikaji na mshikaji wake alitoka kwenye gari kwa hasira na kumpiga kichwa auxiliary police ofisa hadi kumpasua kwenye paj la uso ,ndipo mwanaume huyo alikamatwa na kupelekwa kituon ndipo alipigwa fain ya shiling 3,000,000 na kuachiwa na katoto hako ka kike ni mwaka wa kwanza hata shule hakajazoea kanabembeleza viongiz wa DARUSO JAMBO HILI LISIFIKE Mbali kwan ofice ya dean of students ikifaham atafukuzwa chuo kwa MUJIBU wa sheria ndogo ndogo za chuo,jaman dunia imekwisha ,maeneo ya hall 3 kwa maeneo ya campus ndo uwanja wa vita kama meada ,buguruni au ambiance,jaman wengine wanauza kabisa kunavyumba maalum ukitaka unapelekwa unapata service this is terrible ma dear
... It has been like that for years... tofauti mie nilikuwa HILL SIDER ..ulizia hawa walikuwa watu gani!!HAPO hall three mbona ilikuwa home tu!!! Pili tofauti nyingine kidogo ... ni hako Kabinti asubuhi kangekuwa kamewajibishwa na MZEE ..kuta zote za hapo cafteria, hall 2,3,6 nk kangeraa kwa PUNCH!!
Lakini mambo ni hayo hayo ... ONE thing!! sasa hihizi sisi tunapost kubwa ndani ya nchii hii na nye manfanya mchezo ..chezeni lakini someni!!!!