Udsm yaporomoka kiwango kutokana na siasa

Udsm yaporomoka kiwango kutokana na siasa

Mkuu nakumbuka 2009 ilikuwa ya 12 kwa afrika na ya kwanza kwa afrika mashariki na sasa ni ya 22,pia ni ya pili kwa africa mashariki!!!

sio kweli hata kidogo,last year ilikuwa nafasi ya 24,makerere ndio ilikuwa namba 12!
 
Udsm tunayoijua siyo ya sasa wewe angalia hata mijadala yao sikuhizi pumba tupu.raking wanaangalia vitu vingi ikiwemo hata uwezo wa wakufunzi lakini academically kwa uwezo wa kitaaluma kwa undergraduate UDSM imeshuka sana.Chuo akiwezi kuendelea kwa tafiti za quetionnaire kama Redet n.k.chuo lazima kiwe na tafti za kisayansi zinazotoa output

so,naipongeza SUA pia!
Ninacho pingana na wewe ni kwamba siasa ndizo zinashusha udsm!
kwanza haijashuka ila iko stagnant kwa mda mrefu katika position zile zile,24,23,22 kwa mda mrefu!

Haya,tatizo lako ni redet ina kukwaza?
sua wana taasisi gani ya tafiti ambayo imefanya la maana?

Mbona wana graduate kila siku lakini bado tanzania ni omba omba wa chakula?
wale si wataalamu wa kilimo au?

Hawa fanyi tafiti au za kwao ni kimya kimya na matokeo ya tafiti zao ndio tunazo ona (upungufu wa chakula)

Tatizo sio siasa vyuoni,TATIZO NI MFUMO MZIMA WA ELIMU TOKA VIDUDU HADI CHUO!
NI ELIMU YA KUSOMA ILI UJIBU MTIHANI UFAULU NA UAJILIWE BASI!

Natamani dr.slaa angekuwa raisi maana sera yake kwa elimu ilikuwa nzuri sana,developing critical and analytical thinking skills kwa wanafunzi ambazo ni sifuri these days
 
EBU TUANGALIE NA VIGEZO KABLA YA KUKOSOA
The 4icu.org directory includes worldwide higher education organisations which satisfy the following requirements:
§ are officially recognized, licensed or accredited by national or regional bodies such as ministries of education and/or recognized higher education accrediting organizations.
§ are officialy entitled to grant four-year undergraduate degrees and/or postgraduate degrees.
§ provide traditional face-to-face learning facilities, programs and courses.
§ have a working official website.
 
Udsm tunayoijua siyo ya sasa wewe angalia hata mijadala yao sikuhizi pumba tupu.raking wanaangalia vitu vingi ikiwemo hata uwezo wa wakufunzi lakini academically kwa uwezo wa kitaaluma kwa undergraduate UDSM imeshuka sana.Chuo akiwezi kuendelea kwa tafiti za quetionnaire kama Redet n.k.chuo lazima kiwe na tafti za kisayansi zinazotoa output

Ipi?
nani alikuwa anaendesha hiyo mijadala na wapi?

Si bora mijadala ya udsm kuliko yenu huko udom ya kumsifia raisi na kumpa "degree " kila siku au kwako ndio ubora wa chuo huo?
 
Ni kweli kabisa halina mjadala hilo...

Bora ukajadili maana una upa ubongo wako chakula,ukikubali kila wazo la mtu hata kama katoka usingizini utakuwa mtumwa wa mawazo,.....

ndo kama wabunge wa kugonga mabenchi bungeni vile
 
Chuo kimetawaliwa na siasa kuanzia walimu wake hadi wanafuzi wake, ma lecturer hawajitumi wanategemea hisani za wanasiasa wanafunzi nao kazi kugombania madaraka Daruso.

Sisi enzi zetu 80s na mwanzo wa 90s Daruso (wanafunzi) tulikuwa tuna misimamo si tu kudai bumu bali pia na masuala ya kijamii. Tukianzisha madai(migomo) tunadai yote pamoja mfano kupanda kwa bei madukani, kudai ubora wa elimu chuoni hata kudai ubora wa elimu ya sekondari tulikwa tukiwasaidia kuandamana, hayo ndiyo yalikisaidia chuo cha UDSM kusifika lakini siku hizi ukisikia wanafunzi wanaandamana ni kwenda bodi ya mikopo wanasahau tatizo la upungufu wa ma-lecturer chuoni.
 
UDSM=CCM=UDOM=SYNOVATE=DR.BANA=JK=MAKAMBA=CHILIGATI=ROSTAM=FAMILIA YA MKUU WA KAYA=MABINGWA WA KUCHAKACHUA:whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo:
 
Mh!kwa hiyo imepanda?basi kama ni hivyo basi inastahili pongezi!!

Inategemea unaangalia imepanda kwa vigezo gani,kama ni web based rankings haitapanda hata kidogo labda wabadili the whole page system!

Ila kama wanaangalia kwa viwango vya ufaulu yes,this year wamefaulu sana kwa sababu kumekuwa na utulivu so watu wanasoma sana
 
Tatizo ni siasa!!! kila mtu amekua politician! nani anaangali ranking ya chuo tena? ila nawavulia kofia Mogadishu University!? the guys wana - rank 74th pamoja na kasheshe zote hizo je hali ingekua shwari wakasoma wakiwa wametuli si inekua balaa? Bravo kina Horyaaa Keep it up.
 
utashangaa graduate ca'nt construct a simple englis sentence. Najua wengine mtasema english ni lugha tu .I don't care . I know it has a role in the faliures.
 
Wana jf kuna habari kuwa hadhi ya chuo kikuu cha dar es salaam inazidi kuporomoka kutokana na vyuo vya ardhi na mhimbili kujitenga.sasa imebaki engineering tu inachokibeba chuo.aidha inadaiwa kuwa tofauti na prof luhanga makamu mkuu wa sasa anaendekeza siasa badala ya taluma na utafiti.sua sasa wanashika nafasi ya 28 kwa ubora africa wakati mwaka jana walikuwa wa 78.

UDSM inashuka kiwango sababu ya siasa vile vileUDSM haiwezi kupanda kiwanngo kwa sababu ya siasa.

Mfano mmoja ni wewe kuwa na hoja nzuri lakini umeileta kwenye forum ya siasa. Mawazo na michango inakuja hapa ni kisiasa Je UDSM itaendelea
1-1=
 
EBU TUANGALIE NA VIGEZO KABLA YA KUKOSOA
The 4icu.org directory includes worldwide higher education organisations which satisfy the following requirements:
§ are officially recognized, licensed or accredited by national or regional bodies such as ministries of education and/or recognized higher education accrediting organizations.
§ are officialy entitled to grant four-year undergraduate degrees and/or postgraduate degrees.
§ provide traditional face-to-face learning facilities, programs and courses.
§ have a working official website.
Safi Njowepo,

Badala ya kukimbilia kuangalia rank inabidi tuangalie vigezo vilivyotumika, kuna kitu kinaitwa Cluster Analysis huwezi kuchanganya mayai na nyanya ukasema mayai ni bora zaidi ya nyanya.

Nimeangalia link yao wamesema walichoangalia ni kozi ya MBA katika vyuo hivyo, kwa hiyo tusiangalie ufaulu tuangalie chuo kilikuwa na aina gani ya kozi wanafunzi wangapi input-dropout then-output.

Kama tukiangalia output tu tutakosea, mfano chuo A likuwa na wanafunzi 10 wakafaulu 8 sawa na 80%, chuo B kilikuwa na wanafunzi 90 wakafaulu 60 sawa na 66% ki- rank chuo A kiko juu lakini huwezi kulinganisha ki-ubora na chuo B. Kwa hiyo kuna vitu vingi sana vya kuangalia kabla ya ku-judge kipi bora kipi si bora.
 
this is the problem of regarding everything as politic
 
Inawezekana hiyo ila nafikiri university of Dar es Salaam inaheshimika kwa sheria kuliko course nyingine yoyote. Kama nako wameporomoka hiyo itakuwa hatari.

Afadhali umesema "nafikiri" maana nilitaka kukushukia kama tani ya matofali! UDSM haiheshimiki kwenye sheria wala fani ingine yoyote. Labda kuanzia miaka ya tisini na kurudi nyuma ndo walikuwa walau wana kaheshima fulani lakini si hizi zama za dotcom.

Juzi juzi tu hapa kwenye sherehe ya kuapisha mawakili wapya ilisemwa kuwa Tanzania kuna mawakili 1660 tu!!!! Na kuna mikoa mingine hadi hivi sasa haina mawakili. Aibu tupu! Sasa hiyo heshima itoke wapi?
 
Inawezekana hiyo ila nafikiri university of Dar es Salaam inaheshimika kwa sheria kuliko course nyingine yoyote. Kama nako wameporomoka hiyo itakuwa hatari.

Nimeweza kuthibitisha kuwa SUA imepanda na sasa imeipita Makerere University. Dar bado ipo juu kidogo. Bravo SUA keep it up
2010 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa

The dreamer unaota mchana,eti UDSM kwa sheria ni wazuri!
Ni miaka ya zamani sio sasa!Ni wachovu tu sasa,namfahamu graduate mmoja wa pale he cant speak good English.Utasema language sio kigezo,ukumbuke sheria zetu zimebase kwa lugha hiyo.

i bet wale wa Makerere na Nairobi ni cream kuliko wa UDSM.
 
The dreamer unaota mchana,eti UDSM kwa sheria ni wazuri!
Ni miaka ya zamani sio sasa!Ni wachovu tu sasa,namfahamu graduate mmoja wa pale he cant speak good English.Utasema language sio kigezo,ukumbuke sheria zetu zimebase kwa lugha hiyo.

i bet wale wa Makerere na Nairobi ni cream kuliko wa UDSM.

Mwambie wewe bwana. Hawa wa siku hizi ni hovyo kabisa. Hawana kabisa depth of knowledge ya fani yao. Walichonacho ni cheti tu kinachoonesha wana LLB. Lakini ukimwuliza swali kama 'what is your judicial philosophy'? Wataanza kujiharishia kaa bata. Na hiyo si kwamba wanayo bali hawajui kujieleza, la hasha! Ni kwamba hawana kabisa. Shameful.
 
Udsm tunayoijua siyo ya sasa wewe angalia hata mijadala yao sikuhizi pumba tupu.raking wanaangalia vitu vingi ikiwemo hata uwezo wa wakufunzi lakini academically kwa uwezo wa kitaaluma kwa undergraduate UDSM imeshuka sana.Chuo akiwezi kuendelea kwa tafiti za quetionnaire kama Redet n.k.chuo lazima kiwe na tafti za kisayansi zinazotoa output

Wanafunzi nao wanachangia, hajulikani engineering, law au bussiness wote siasa wameweka mbele.athari yake ni kwamba wamejaa fustration kila siku ,wenzao wanasiasa wanafanya kwa maslahi na mishahara wanapata.Leo nakuahidi tena mtakumbuka ndani ya miaka mitano Ranks zitakuwa kama 1.Sua 2. Mzumbe 3. Udom 4. UDSm 5. DIT 6.Mbeya Institute na hali itakuwa mbaya zaidi siku zijazo. UDSm vijana wenzetu badilikeni chapeni kazi someti,tafuteni ,tafitini na sio bla bla kila siku CDM CCM baadaye. mnajibebesha mizigo mikuubwa wakati mnajukumu la kubukuwa na kuleta wataalam hapa kwetu. UD hata maprof wake wanasiasa tu hawana zaidi ya kulaumu na kukosoa , je nyie mnaweza nini mmefanya nini.
Tubadilike tuchape kazi na sio maongezi tu .tunauwa taifa na nguvu kazi inazorota,.
Nawaambia ukweli mimi nipo proud nimegraduate Mzumbe na haki ya nani tukienda kwenye interview na mtu wa UDsm same post same qualification im sure kazi napata mimi kama mnabisha tupange tujaribu ,mnajichoresha.post yangu itoke tuwekane wazi
 
Safi elimu kwanza. Ud hawana ubunifu wa taaluma zao zaidi ya kujaza siasa kwenye vichwa vyao.utadhani kuna faculty of Politics and propaganda ,siku zote utadhani wanajiandaa na final project ya migomo na maandamano, uone walivyo punctual kwenye maandamano na migomo but hawafanyi hivyo kwenye projects na innovation. Niwaambieni nchi za wenzetu a big university kama Ud haiwi just source ya politicians kama ilivyosasa bali wanasayansi na chachu ya maendeleo kisayansi. tafiti zenye faida. Uchaguzi umeisha wamekosa cha kufanya ,sasa wanadai katiba mpya ,waulize ya zamani unaijua vizuri? atanukuu mapungufu ambayo Mnyika na Slaa wananukuu tu bila kuongeza hata mstari mmoja mwingine aliouona yeye pindi akiperuzi. nawaombeni vijana wenzangu hasa wasasa msiwe drived tu ,jaribuni kusoma, kutafiti na kutafuta ,msiwe na kauli za flani kasema , kila asemacho flani yes, na kila asemacho fulani no, no kuweni waerevu na mwerevu ni yule haamini kwa kurithi bali kwa kutafiti na kulinganisha. tuache uvivu .Chuo kinakufa taratibu ,najua mtatoa sababu kuwa ni mkandara ila kila mmoja wetu anahusika. jiulize mimi nafikiria nini zaidi. masomo , siasa,utafiti, maendeleo?
 
Back
Top Bottom