hahahahaha,naikubali SUA sana,hata elimu yao iko juu balaa tena kiukweli ilibidi iwe hata juu ya UDSM!
mimi nilicho mpinga elimukwanza ni kwamba siasa ndizo zinashusha chuo,sidhani kama kuna ukweli ndani yake maana kama ingekuwa ni kweli basi ghana university ingekuwa ya kwanza Africa!
Hata wakitoa elimu bure mtoto wangu hasomi udom,never
utashangaa graduate ca'nt construct a simple englis sentence. Najua wengine mtasema english ni lugha tu .I don't care . I know it has a role in the faliures.
Mh. Speaker, Mbona mkuu wangu nimesema Dar bado ipo juu! Au kwa vile nimesema Dar badala ya UDSM?Hahaha mimi ni MSUASO bwana! Hicho chuo cha Kata naangalia ustaarabu asije akasoma mtoto wangu kama hakitabadilika
Safi elimu kwanza. Ud hawana ubunifu wa taaluma zao zaidi ya kujaza siasa kwenye vichwa vyao.utadhani kuna faculty of Politics and propaganda ,siku zote utadhani wanajiandaa na final project ya migomo na maandamano, uone walivyo punctual kwenye maandamano na migomo but hawafanyi hivyo kwenye projects na innovation. Niwaambieni nchi za wenzetu a big university kama Ud haiwi just source ya politicians kama ilivyosasa bali wanasayansi na chachu ya maendeleo kisayansi. tafiti zenye faida. Uchaguzi umeisha wamekosa cha kufanya ,sasa wanadai katiba mpya ,waulize ya zamani unaijua vizuri? atanukuu mapungufu ambayo Mnyika na Slaa wananukuu tu bila kuongeza hata mstari mmoja mwingine aliouona yeye pindi akiperuzi. nawaombeni vijana wenzangu hasa wasasa msiwe drived tu ,jaribuni kusoma, kutafiti na kutafuta ,msiwe na kauli za flani kasema , kila asemacho flani yes, na kila asemacho fulani no, no kuweni waerevu na mwerevu ni yule haamini kwa kurithi bali kwa kutafiti na kulinganisha. tuache uvivu .Chuo kinakufa taratibu ,najua mtatoa sababu kuwa ni mkandara ila kila mmoja wetu anahusika. jiulize mimi nafikiria nini zaidi. masomo , siasa,utafiti, maendeleo?
Ubora wa elimu ni nini? mbona hatujaona nchi ikipiga hatua pamoja na kuwa na vyuo hivyo mnavyoshabikia kuwa ni bora?
Wana jf kuna habari kuwa hadhi ya chuo kikuu cha dar es salaam inazidi kuporomoka kutokana na vyuo vya ardhi na mhimbili kujitenga.sasa imebaki engineering tu inachokibeba chuo.aidha inadaiwa kuwa tofauti na prof luhanga makamu mkuu wa sasa anaendekeza siasa badala ya taluma na utafiti.sua sasa wanashika nafasi ya 28 kwa ubora africa wakati mwaka jana walikuwa wa 78.
Kife kabisa ili kizaliwe kingine. Ubabe wa maprofesa, wanafundisha kwa kiwango cha chini...udikteta.....Wana jf kuna habari kuwa hadhi ya chuo kikuu cha dar es salaam inazidi kuporomoka kutokana na vyuo vya ardhi na mhimbili kujitenga.sasa imebaki engineering tu inachokibeba chuo.aidha inadaiwa kuwa tofauti na prof luhanga makamu mkuu wa sasa anaendekeza siasa badala ya taluma na utafiti.sua sasa wanashika nafasi ya 28 kwa ubora africa wakati mwaka jana walikuwa wa 78.
Sisi wana statistician tunasema (put them in a basket of only 2 unis) utaona UDSM kimeporomoka ki ubora ukilinganisha na SUA, mtu anatoka kuwa wa 78 hadi 28 wakati wewe miaka yote uko pale pale utakuwa unafanya nini, wangekuwa watoto wangu ningempongeza SUA zaidi ya UDSM kwa vile anaonekana anajituma zaidi ya mwenzake.
Udsm tunayoijua siyo ya sasa wewe angalia hata mijadala yao sikuhizi pumba tupu.raking wanaangalia vitu vingi ikiwemo hata uwezo wa wakufunzi lakini academically kwa uwezo wa kitaaluma kwa undergraduate UDSM imeshuka sana.Chuo akiwezi kuendelea kwa tafiti za quetionnaire kama Redet n.k.chuo lazima kiwe na tafti za kisayansi zinazotoa output
Kife kabisa ili kizaliwe kingine. Ubabe wa maprofesa, wanafundisha kwa kiwango cha chini...udikteta.....
Kife tuu!