Juu ndo wapi? Mbona ndo hao hao wanatusainia mikataba feki, ndo hao hao wanaoshindwa kusimamia Wizara kama ya Uchukuzi na Madawa ya kulevya yanapita kwenye viwanja vya ndege na mpaka Twiga anachukuliwa juu kwa juu kwenda ughaibuni?
Ndugu yangu hao wasomi wanaosema mwekezaji sasa awasaidie wananchi anakofanyia kazi kwa kujenga shule, barabara, maji, vituo vya afya wakati hayo ndo yalitakiwa yawe kwenye Mikataba? Si ndo wasomi wetu hao hao wanaokubali kupeleka vijana wetu kusoma nje ya nchi wakati huku nyuma wanatoa leseni na vibali vya kuchimba madini ya urani, Gesi na makaa ya mawe bila uwepo wa sheria wala sera?
Si ndi hao hao wanaopitisha muswada wa sheria ya kulipia kodi ya line za simu afu tena wanadai watairudisha mjengoni? Kwani jamaa wa Mjengoni hawakupitia mlimani? Kwani baadhi ya Mawaziri sio Wahadhiri wa UDSM? Bwana wewe tulia tu kama mimi na wewe tunyolewe tu.
TAFAKARI!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kufanya ranking hakuna ubaya wowote,na ata udsm kuwa ya kwanza duniani sio mbaya,
tatioz kubwa ni pale mtu anajiita profesa anatumia nguvu nyingi kumuaminisha mwanafunzi wake kuwa udsm ni bora(mambo ya kufikirika) wakati ata yeye mwenyewe (profesa) anajua kamwe udsm haiwezi kufikia vyuo vya afrika kusin,makarere,nairobi universt,vyuo vya misri,vyuo baadhi ya vyuo vya algeria.
na kibaya zaidi unakuta uyu profesa anatumia muda mwingi na nguvu nyingi kushindana (kwa porojo) na chuo kichanga kama udom amabacho bado kinakuwa.
majigambo yote unayoyaaona humu ni sumu wanaolishwa wanafunzi wa udsm na maprofesa wao wakati wa lecture.
ni bora hawa maprofesa watumie mda wao mwingi kufanya mambo yenye manufaa kwa nchi hii.
yote kwa yote udsm tunaijua ipo apa apatz,watz tunajua,wanaofundisha tunawajua,wanafunzi waketunawajua,mazuri yake tunayajua na mapungufu yake pia tunayajua.
udsm bado ni chuo bora kwa tz tu(may be kwa ranking) na sivinginevyo,na wala hatuta shangaaa kikipitwa vvyuo vipya kama udom miaka michache ijayo