Uduni wa akili ya Mwafrika: Kuna viongozi wa matawi ya Simba & Yanga nchi nzima wanachangisha hela eti ' kucheza mechi'

Uduni wa akili ya Mwafrika: Kuna viongozi wa matawi ya Simba & Yanga nchi nzima wanachangisha hela eti ' kucheza mechi'

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Kucheza mechi maana yake ni kumpa mganga hela aroge mechi timu yako ishinde. Watu walivyo kuwa na akili duni wanatoa kabisa hela zao yani.

Waache kuroga mechi wachezaji ambao Simba na Yanga zinawalipa mamilioni uende ukaroge wewe ambae hupati chochote kutoka timu hizo? Hiyo ni akili ama makamasi?

Mwafrika ni lini utakuwa na akili wewe?

Anyways hizo hela mnazo toa kwa watu wa " Kamati" za ufundi za matawi mnapigwa tu mabwege nyie.. Wanaenda kupika pilau majumbani mwao.

Kama wana taka " Kuroga mechi" Kwa nini wasiende kwa Injinia au Mo.
 
Hiyo huiambii kitu wengi wanavitambi vya kula kongoro🤣🤣
 
Pili pili usiyoila yakuwashia nini
Kila mtu anatumia hela yake anavyotaka
 
Nilishawahi kupita mitaa ya Msimbazi nikaona watu wazima na akili zao wanajadili suala la kuchangia pesa waende kwa Mganga waroge washinde.
 
Nilishawahi kupita mitaa ya Msimbazi nikaona watu wazima na akili zao wanajadili suala la kuchangia pesa waende kwa Mganga waroge washinde.
Dah yani ni upuuzi kweli. Mimi juzi nimepita kwenye tawi la timu yangu Mara nikaitwa naonyeshwa daftari la walio changa naambiwa na mimi nitoe mchango wangu ..

Kwa busara nikawaambia tu siko poa.

Unajua wakisha kuona unaipenda sana timu yako ndio wanakuletea ujinga ujinga kama huu.

Ila kama upo neutral hawawezi kuthubutu
 
Dah yani ni upuuzi kweli. Mimi juzi nimepita kwenye tawi la timu yangu Mara nikaitwa naonyeshwa daftari la walio changa naambiwa na mimi nitoe mchango wangu ..

Kwa busara nikawaambia tu siko poa.

Unajua wakisha kuona unaipenda sana timu yako ndio wanakuletea ujinga ujinga kama huu.

Ila kama upo neutral hawawezi kuthubutu
Kuna jamaa mmoja alikuwa ana ipenda sana timu yake. Basi bana ikaja mechi ya Derby jamaa akaambiwa yeye nyota yake ndo inaendana na Derby so anatakiwa kwenda na hirizi uwanjani na akae nyuma ya Goal Keeper wa timu pinzani. Unaambiwa jamaa alifanya hivyo bana.

Jamaa mwenyewe sasa ni Mwanasheria Wakili Msomi( State Attorney)
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great thinker
 
BONGO BILA HIZO MISHE MAMBO HAYAENDI
Kucheza mechi maana yake ni kumpa mganga hela aroge mechi timu yako ishinde. Watu walivyo kuwa na akili duni wanatoa kabisa hela zao yani.

Waache kuroga mechi wachezaji ambao Simba na Yanga zinawalipa mamilioni uende ukaroge wewe ambae hupati chochote kutoka timu hizo? Hiyo ni akili ama makamasi?

Mwafrika ni lini utakuwa na akili wewe?

Anyways hizo hela mnazo toa kwa watu wa " Kamati" za ufundi za matawi mnapigwa tu mabwege nyie.. Wanaenda kupika pilau majumbani mwao.

Kama wana taka " Kuroga mechi" Kwa nini wasiende kwa Injinia au Mo.
 
Back
Top Bottom